Tetesi: Clouds media rasmi bifu na Diamond plutnumz .


Mbona wamepiga nyimbo ya mavoko mwanzo mwisho? Au mavoko ni tim kiba?..
 

Maelezo yako haya yana ' Ukakasi ' mno na hayasadikiki.
 
Nimeiona hilo sijaelewa nilidhani wanaweka matangazo ya biashara ila sasa ukivyosema ndo naanza kuwa na mawazo hasi .... hapana Cloud hawana sababu ya kufanya hivyo
 
Acha usshamba wewe,

Dj mixing hiyo
 
Kama hawapatani wale wasanii wa wcb wasingesainiwa fiesta

Tatizo ni kwamba fiesta ni tigo wakati diamond ni voda kwa kipindi hichi ataisoma namba labda mpaka fiesta ipite
Yaan mimi nimebaki namshangaa mtoa mada sijui kala maharage ya wapi? Wawe na ugomvi wangewasaini rich mavoko, harmonize na rayvanny

Kingine anataka wapige sana nyimbo za diamond waache za kiba wakati fiesta wamemsajili kiba khaah!!!
 
Nimeiona hilo sijaelewa nilidhani wanaweka matangazo ya biashara ila sasa ukivyosema ndo naanza kuwa na mawazo hasi .... hapana Cloud hawana sababu ya kufanya hivyo
Nashukuru mkuu kwa kuona. Nashangaa nashambuliwa mara sijui mtoto wa fb mara mkia wa mbuzi mara eti wcb nilichosema ni kwa individual. Mzee simba mwenyewe naona hawana mpango naye

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ntaanzisha kampeni wiki ijayo ya watu kutoshirikiana na Ruge. Tunataka Watanzania wajue uhuni wa Ruge
Huyu jamaa sijawahi kumuamini kabisa. Ni fisadi mkubwa wa sekta ya burudani. Amepelekea wasanii wengi sana kupoteza future zao. Huyu jamaa ameshajipa umungu katika sekta ya burudani Tanzania
 
Ntaanzisha kampeni wiki ijayo ya watu kutoshirikiana na Ruge. Tunataka Watanzania wajue uhuni wa Ruge
Hakika mkuu na bifu hili lihusike kwa kuwapa nguvu EFM....maana ndio wanachokitaka.Wana upendeleo wa wazi sana afu kama ulikuwa hujui clouds ni watu wanaochochea ugomvi wa wasanii hasa adam na bi twelve
 
Wakicheza na clouds itakuwa zilipendwa tupo na makonda mwanaume wa shoka dar nzima aliyeshinda kila vita atunawasiwasi wakizingua tunaongea naye anaongea na mkulu gafla ruge ndani kusaga ndani redio funga tv funga inakuwa zilipendwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika mkuu na bifu hili lihusike kwa kuwapa nguvu EFM....maana ndio wanachokitaka.Wana upendeleo wa wazi sana afu kama ulikuwa hujui clouds ni watu wanaochochea ugomvi wa wasanii hasa adam na bi twelve
Wale jamaa nimeshaacha kuwasikiliza muda sana. B.12 anajisikia sana now, baada ya kuwa xxl brand manager anajiona yeye zaidi ya msanii. Hawa watu tutawaondoa ukiritimba kwa umoja wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…