Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Ndugu yangu kama haujui RUGE bosi wa clouds ndo Master mind wa diamond tangu anaanza,,na hawawezi kutofautiana leo au kesho..Hao akina Tale ni ma-middle man tu ila Ruge ndo anammiliki Diamond..kwahyo hiyo isikuchanganye,pia harmonize,rayvanny,mavoko ni wasanii wa Diamond lakni wapo kwenye list ya fiesta..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app