Jiraniyetu
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 350
- 333
Hawana bifu bana...mbona diamond karanga zinatangazwa kila siku...unajua ukiwa shabiki kupitiliza napo nikosa kubwa...kila kitakachofanyika utajua unaonewa...!! Emu try to be positive nduguJambo!! Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . . Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha kustaajabisha imekuja nyimbo moja ya Diamond 'HELLO' sasa imeanza naona hawakutambua mapema ile jamaa (Diamond)anaonekana mziki ukakatishwa na kuwekwa mwingine. Kweli nimeamini clouds na kijana kutoka madale hawaivi asee.
Kama kuna ambaye ameanza kuangalia kipindi kilivyoanza atakuwa shahidi wangu.
My take vyombo vya habari hii sio kabisa haijakaa vyema kabisa kwanini muwe bias kiasi hiki!???[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika mkuu na bifu hili lihusike kwa kuwapa nguvu EFM....maana ndio wanachokitaka.Wana upendeleo wa wazi sana afu kama ulikuwa hujui clouds ni watu wanaochochea ugomvi wa wasanii hasa adam na bi twelve
Ukweli hakuna bifu kati yao basi tu maneno ya watu.Kama hawapatani wale wasanii wa wcb wasingesainiwa fiesta
Tatizo ni kwamba fiesta ni tigo wakati diamond ni voda kwa kipindi hichi ataisoma namba labda mpaka fiesta ipite
Acha uongo ingekuwa ivo wasingewawachukua wasanii wake 3 fiestaJambo!! Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . . Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha kustaajabisha imekuja nyimbo moja ya Diamond 'HELLO' sasa imeanza naona hawakutambua mapema ile jamaa (Diamond)anaonekana mziki ukakatishwa na kuwekwa mwingine. Kweli nimeamini clouds na kijana kutoka madale hawaivi asee.
Kama kuna ambaye ameanza kuangalia kipindi kilivyoanza atakuwa shahidi wangu.
My take vyombo vya habari hii sio kabisa haijakaa vyema kabisa kwanini muwe bias kiasi hiki!???[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
hawamjui kuwa ndio mmiliki halali wa hizo karanga domo....Unamjua jose kusaga??
wimbo wa zilipendwa WCB hawajaupeleka clouds...Lengo ni kumshusha. Nyimbo ya zilipendwa haijawahi pigwa pale. But nyimbo ya kiba kila SAA inapigwa zaidi ya Mara 3
ungekua mjanja ungejua why wanapiga nyimbo za hao wasanii kwa sasa....Jambo!! Kama habari inavyoeleza hapo juu. Naangalia kipindi cha shilawadu cha hawa vijana wawili live clouds tv. . . Kabla hawajaanza zimepigwa nyimbo mfululizo wasanii mbali mbali, cha kustaajabisha imekuja nyimbo moja ya Diamond 'HELLO' sasa imeanza naona hawakutambua mapema ile jamaa (Diamond)anaonekana mziki ukakatishwa na kuwekwa mwingine. Kweli nimeamini clouds na kijana kutoka madale hawaivi asee.
Kama kuna ambaye ameanza kuangalia kipindi kilivyoanza atakuwa shahidi wangu.
My take vyombo vya habari hii sio kabisa haijakaa vyema kabisa kwanini muwe bias kiasi hiki!???[emoji22][emoji22][emoji22][emoji22][emoji22]
Sent using Jamii Forums mobile app
Umasikini na ww unakusumbua mkuuNtaanzisha kampeni wiki ijayo ya watu kutoshirikiana na Ruge. Tunataka Watanzania wajue uhuni wa Ruge
Unatusumbua sana na multiple ID'S mfanyakazi wa Voda anaweza kufanya kazi za Tigo?au ni upunguani wako tu na unafiki unakusumbua?
Ndo maana wanaume siku hizi wamekuwa wachache duniani kwa mtindo huu miaka ijayo itakuwaje? So sadNtaanzisha kampeni wiki ijayo ya watu kutoshirikiana na Ruge. Tunataka Watanzania wajue uhuni wa Ruge
Sasa ulitaka apewe asiyeshiriki fiesta??????Clouds maboya ndo maana bashite aliwavamia. Kibakuli wanampa promo kwa ajili ya Fiesta
Yeye si alisema hategemei media kusambaza mziki wake,na badala yake akafungua www.wasafi.com.sasa munachotoka povu ni nini haliyakuwa boss wenu alishasema hayo.Lengo ni kumshusha. Nyimbo ya zilipendwa haijawahi pigwa pale. But nyimbo ya kiba kila SAA inapigwa zaidi ya Mara 3
ipigwe lazima? kuna utaratibu kama hajaipeleka? kama hajatoa hela ya promo!!! nyie vpLengo ni kumshusha. Nyimbo ya zilipendwa haijawahi pigwa pale. But nyimbo ya kiba kila SAA inapigwa zaidi ya Mara 3