Tajiri mpole
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 2,890
- 5,632
Afadhali Mzee mwenzangu PJ kama alijishtukia flani hivi,Ila na baadae Sam akasoma Nyakati baada yakuona dada anavyodhalilika.Nilicheka sana alivyotaka Lissu awaulize wao maswali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu alikuwa anagombea viti maalum veggies..!! Aiseee huko angekuwa chakula cha kina msukuma 😹🤣Hili jina tu Kijakazi inaonyesha ni mtu kutoka background ya uswahili uswahili na kukata mauno.
Ipi hiyo?Kuna ile video inatamba mtandaoni yani nilibaki kucheka tuu 😂
Wote huko ndiyo dizaini hiyo. Hatuna uongozi nchi hii.Halafu alikuwa anagombea viti maalum veggies..!! Aiseee huko angekuwa chakula cha kina msukuma 😹🤣
Kwa akili kubwa kama za Lissu unapelekaje aina hii ya waendesha vipindi vya burudani (sio Waandishi wa Habari) kumhoji? Mtu kahojiwa BBC Hard Talk tena kwa lugha ya Kiingereza utamuweza wewe kanjanja??
View: https://www.youtube.com/watch?v=h9cHr7NLIBA
Lissu alitaja jina la mama abdul, huyo dada akamwambia asitaje majina ya watu, Lissu akauliza mbona unataka nitaje majina ya akina mboweIpi hiyo?
🤣 🤣 🤣Wenzetu Dunia, Hawa Waandishi wapo ambao nia Expert Kwa ajili ya kuhoji masuala Mapana na mazito ya hapa Duniani.
Alafu wapo ambao wanacheza na wasaniii, waigizaji.
Sasa KIJA alozoea mipasho , akaamua kuweka wazi kiwango kikubwa Cha Ujinga wake.
Huyo dada aendee akawahoji waimba singeli tuLissu alitaja jina la mama abdul, huyo dada akamwambia asitaje majina ya watu, Lissu akauliza mbona unataka nitaje majina ya akina mbowe
Siyo majibu tu.Ni kujivisha u-CCM ili uchekeshe umma.Mwandishi mzuri anaye jua kufanya mahojiano chunguza kipengele Cha "forum questions" hapa ndo hambainisha mwandishi aliyepita shule.
Alafu huwezi kwenda kwenye mahojiano wewe ukiwa na majibu y'ako kichwani hili ni kosa kubwa sana,Kazi ya mwandishi ni kuuliza maswali kwa niambie ya hadhira ukweli wa majibu wanao takiwa kufanya judgement ni hadhira sio wewe mwandishi.