Clouds Media waliwaza nini kuwapeleka Sam Sasali, PJ & Kijah kumhoji Lissu?

Clouds Media waliwaza nini kuwapeleka Sam Sasali, PJ & Kijah kumhoji Lissu?

Wangemuomba hata Kikeke aende kuhoji. Yule Kijakazi, she is extremely shallow. Yule ni kuwahoji kina Zuchu na Paula.
 
Kijakazi kazingua, sukari ilimpanda mpk anataka Lissu ndo awaulize wao maswali 😹
Ahahah..nilichukia sana vile alivyozungumzia na namna alivyofanya kale kamkono kake huku anawatazama waiinga wenzie..
 
Hii ni aibu kubwa kwa Media ya Clouds na wakiendelea kuwa na waandishi makada wa ccm kama hawa kuizamisha iyo kampuni
 
Km hapendi ujinga mbona mama Anna alimbonda na stuli 😹😹
Hapendi ujinga when it comes to "intellectual matters". Mambo ya kutumia akili halaf mtu atumie makalio, yule mzee alikua hapend kabisa
 
Namkubali sana Charles William ,Aloyce Nyanda ,Masoud KP ,Gerald Hando ,Sizza ,Chief Odemba ,John Jambo ,Pascal Mayalla na Joh wa Jambo TV kwa maswali magumu.

Mayalla alimtwika swali JIWE hadi akapoteana na kuanza kusema Mayalla kwetu ni NJAA.
 
Hao jamaa wako Dom😂mahojiano Yao nayakubali sana
"Hebu tuambie unazungumziaje mradi mkubwa wa sgr kutoka dar hadi dodoma uliojengwa kwa gharama za serikali chini mh Rais ndani ya kipindi kifupi"
Yani muuliza swali anaongea mengi kuliko anaepaswa kujibu swali
 
Namkubali sana Charles William ,Aloyce Nyanda ,Masoud KP ,Gerald Hando ,Sizza ,Chief Odemba ,John Jambo ,Pascal Mayalla na Joh wa Jambo TV kwa maswali magumu.

Mayalla alimtwika swali JIWE hadi akapoteana na kuanza kusema Mayalla kwetu ni NJAA.
Aloyce Nyanda na Odemba ni hakuna kitu kabisa tena kama Jana walichemka sana
Muuliza maswali mzuri ni
1.Kipanya
2.Kikeke
3.Kisa na mwenzake pale Eatv.
4.Tido Muhando
 
Back
Top Bottom