Clouds watoa list ya nyimbo kali mwaka 2021 bila wimbo hata mmoja kutoka WCB

Clouds watoa list ya nyimbo kali mwaka 2021 bila wimbo hata mmoja kutoka WCB

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Je, ni kwamba hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond Plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu kuna nyimbo nyingi kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB

Makasiriko kama haya ya Clouds yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?

FB_IMG_16409660923452251.jpg
 
Je ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB

Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Hiyo #8 inatoka wapi?
 
8. Zuchu sukari, lakini hata wasipokuwepo hakuna tatizo mana hayo ni maoni yao kama unaona wamekosea na wewe toa ya kwako bila kukosoa maoni ya kwao. Jifunze kuficha kilichopo moyoni.
Mkuu ...lkn pia usisahau unaweza kutoa maon ambayo yapo wrong...mbele za watu
 
Diamond anapitwa Hadi na kinata mc[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Alafu boss wa clouds Ana urafiki na diamond.
Ni sawa na mbwa kumchukia rafiki wa bosi wake.
Hapo nashindwa kuelewa kuwa ...je bifu lao bado lipo? Pamoja na kusaga kuwa rafiki wa mond
 
Clouds ilikuwa zamani,siku hizi hawana maajabu ktk hii industry ya muziki.Vibogoyo!!

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Pia vitu vidogo kama hivi ndivyo vinavyoiua clauds ......wasafi tv huwa wanapiga nyimbo za KING KIBA na KONDE BOY .....pamoja na kuwa na ushindani.....hii huifanya wasafi media ku gain more popularity
 
Je ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB

Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Radio yao waache wafanye watakacho kwani kuna radio zaidi 120 na chati yao kila mwaka Diamomd hayupo ,ila haijawahi kumkosesha show Diamond wala kupunguza streams zake kwenye digital platform,wala nomination. Huuu mziki wa bongo kila radio ina wasanii wake na hiko ni chombo binafsi sio TBC.
 
Back
Top Bottom