Clouds watoa list ya nyimbo kali mwaka 2021 bila wimbo hata mmoja kutoka WCB

Clouds watoa list ya nyimbo kali mwaka 2021 bila wimbo hata mmoja kutoka WCB

Je ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB

Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Kwani WCB Wanaimba au WANATUKANA?
 
Kabisa mkuu....kuna juhudi za kimakusudi .....ku Mu Upgrade MARIOO
Kuna ubaya gani ktk hilo? Kama ndio kaimba bia tamu basi inatakiwa awe upgraded zaidi na zaidi. Hao ndio watu wanatakiwa kutuwakilisha kimataifa sio vitu vya ajabu ajabu.
 
Diamond hamuwezi Marioo kwa tungo upo hivyooo kwa Pini za Marioo zinazokuja ni balaa
Nyimbo zinazo shika Africa 90% hazina tungo kali bali zinakuwaga na biti kali au melody nzuri au vionjo fulani vizuri.

Diamond kutunga zile tungo za Mbagala, kamwambie nk anaweza ila biashara yake kwa sasa haitaji aina hiyo ya mziki. Ila tokea 2013 alivyo toa number one Diamond mziki wake ni very simple, vionjo na tungo fupifupi ili hata asiyejua kiswahili aweze kushika mistari au biti imshike au melody na ndizo zinazo mfanya apate show nyingi.

Ukitizama hit songs za Mario amabazo ni ZIMEVUMA SANA ni Bia tamu na ile aliyoimba na Hanstone Chibonge, sasa jiulize zile zinatungo gani kali?
 
Kuna ubaya gani ktk hilo? Kama ndio kaimba bia tamu basi inatakiwa awe upgraded zaidi na zaidi. Hao ndio watu wanatakiwa kutuwakilisha kimataifa sio vitu vya ajabu ajabu.
Sema hana nyota kimataifa....[emoji23][emoji23]
 
Nyimbo zinazo shika Africa 90% hazina tungo kali bali zinakuwaga na biti kali au melody nzuri au vionjo fulani vizuri.

Diamond kutunga zile tungo za Mbagala, kamwambie nk anaweza ila biashara yake kwa sasa haitaji aina hiyo ya mziki. Ila tokea 2013 alivyo toa number one Diamond mziki wake ni very simple, vionjo na tungo fupifupi ili hata asiyejua kiswahili aweze kushika mistari au biti imshike au melody na ndizo zinazo mfanya apate show nyingi.

Ukitizama hit songs za Mario amabazo ni ZIMEVUMA SANA ni Bia tamu na ile aliyoimba na Hanstone Chibonge, sasa jiulize zile zinatungo gani kali?
Kweli mkuu......hapa cha kutofautisha ni kwamba Kuna mziki wa kibiashara na muziki wa kuimba kimaadili (kina 20% ambao ulikufa kitambo .....
 
Marioo ni level nyingine, harmonize hasogei kwa Marioo, kinachowabeba hawa jamaa ni already made publicity wakigusa kitu kinajibu
Kabisa mkuu ....kinacho mbeba Marioo anastahili fulani ya peke ake kwenye kuimba
 
1. LOYALTY DARASSA FT MARIOO & NANDY
2. UTU ALIKIBA
3. NDOMBOLO KINGS MUSIC
4. KINATA MC FT CHINGA
 
Kwa hiyo huwa unatilia maanani kila wanachofanya/sema clouds?.

Wao wenyewe wanjiita wa michongo kwa hiyo nao watakushangaa wewe.

We toa mchongo uingie kwenye orodha zao.
 
Back
Top Bottom