Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
- Thread starter
- #21
Haqiqaa mkuu nmekupataRadio yao waache wafanye watakacho kwani kuna radio zaidi 120 na chati yao kila mwaka Diamomd hayupo ,ila haijawahi kumkosesha show Diamond wala kupunguza streams zake kwenye digital platform,wala nomination. Huuu mziki wa bongo kila radio ina wasanii wake na hiko ni chombo binafsi sio TBC.