Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mwaka jana hakuna hit iliofikia hata nusu ya sukarii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makasiriko haya hayana tija kwakuwa ni aina fulani tu ya kujifariji na kuonesha fukuto la ghadhabu zilizotamalaki moyoniJe ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB
Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Hapo ndipo wanna prove failureList ya mchongo binafsi Sukari ndio ngoma iliyohit Sana kuliko zote hapo ikifuatiwa labda na bia tamu. Kuna ngoma nyingi zimefanya vizuri na hazipo kwenye list yao Cha ajabu kuna ngoma zipo hapo hazistahili kuwepo
Mbona rayvan na zuchu wapo au hao sio dabili u cb kwan mwakitombile katoa hit gan kali mwaka huuJe ni kwamba Hawa jamaa bado wana bifu kubwa dhidi ya Diamond plutmumz na menejiment nzima ya WCB. Kwasababu Kuna nyimbo nyingi Kali zilizotoka hapo lkn hakuna hata wimbo mmoja wa member kutoka WCB
Makasiriko kama haya ya clauds ... yanaleta impacts gani kwenye tasnia ya muziki . ...na tasnia ya habari hapa mjini Tanzania?View attachment 2064225
Hakuna wimbo wa Rayvanny hapo ila ipo aliyoshorikishwa, hakuna wimbo wa Mbosso hata mmoja, huo wimbo wa Zuchu Sukari wameweka no 7 yaani wimbo wa uttu wa kiba umehit kuliko Sukari? Kinata ngoma yake umefanya vizuri kuliko wimbo wowote wa Diamond? Like seriously?Mbona rayvan na zuchu wapo au hao sio dabili u cb kwan mwakitombile katoa hit gan kali mwaka huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba mbona umetoka nje ya mada ya mtoa madaMwenyehisa Kubwa Wasafi Media ni Mke wa mmiliki wa Clouds media wanazuga ugomvi kukuza biashara zao
Diamond katoa hit gani mwaka huu taja na kigezo chao ni kuombwa na kuchezwa sana ndan ya xxl shida iko wap mbona mnapenda sana ligiHakuna wimbo wa Rayvanny hapo ila ipo aliyoshorikishwa, hakuna wimbo wa Mbosso hata mmoja, huo wimbo wa Zuchu Sukari wameweka no 7 yaani wimbo wa uttu wa kiba umehit kuliko Sukari? Kinata ngoma yake umefanya vizuri kuliko wimbo wowote wa Diamond? Like seriously?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndo clouds wametoa hiyo. Why unapinga sasa?Hapana mkuu.....shida sio kuridhisha mioyo......fact ni kwamba lazima tu appreciate mziki mzuri
Ni hujumaaaaaaaHakuna wimbo wa Rayvanny hapo ila ipo aliyoshorikishwa, hakuna wimbo wa Mbosso hata mmoja, huo wimbo wa Zuchu Sukari wameweka no 7 yaani wimbo wa uttu wa kiba umehit kuliko Sukari? Kinata ngoma yake umefanya vizuri kuliko wimbo wowote wa Diamond? Like seriously?
Kwamba nyimbo za WCB ....haziombwi Sana .....pale xxlDiamond katoa hit gan mwaka huu taja na kigezo chao ni kuombwa na kuchezwa sana ndan ya xxl shida iko wap mbona mnapenda sana ligi
Sent using Jamii Forums mobile app
Maoni tuyaweza kuyapa uhalaliwa right and wrong sio katika muziki ndio maana grammy wanaweza kumpa tuzo ya best pop artist msanii flani na bet wakampa mwingine, wote wapo sahihi kwa sababu hakuna vipimo thabiti vya kujua nyimbo nzuri ni ipi zaidi zaidi ni hisia tu ndio zinaongoza.Mkuu ...lkn pia usisahau unaweza kutoa maon ambayo yapo wrong...mbele za watu
Kama clouds wapo sahihi mbona list yao imepondwa Sana na watu wengi pamoja na wasikilizaji wao ebu kapitia kwenye mitandao yao ya jamii utaonaMaoni tuyaweza kuyapa uhalaliwa right and wrong sio katika muziki ndio maana grammy wanaweza kumpa tuzo ya best pop artist msanii flani na bet wakampa mwingine, wote wapo sahihi kwa sababu hakuna vipimo thabiti vya kujua nyimbo nzuri ni ipi zaidi zaidi ni hisia tu ndio zinaongoza.
Kwa hiyo wewe upo sahihi na clouds nao wapo sahihi