Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

Club Africain 0-1 Young Africans | CAFCC Playoff | Yanga yatinga hatua ya makundi

African watakuwa washapotea.walijua watashinda mapema lakin wapi.....

Wametukatia umeme huku kwetu.
 
Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Kiukweli hapo kwenye Bold umekosa Uungwana sana!!
 
Yanga kwenye kwenye michuano hii kudominate tupo vizuri issues kutupia nyavuni.

Halafu anatokea mpuuzi mmoja kisa kaona kamera Nabi hafai,Nabi hafai wakati hata kadi ya electronics hana. Mimi leo tufuzu tusifuzu ila Nabi ni bonge la kocha, hamna kazi ngumu kama kuinga timu na ikacheza mpira.
 
Yanga kwenye kwenye michuano hii kudominate tupo vizuri issues kutupia nyavuni.

Halafu anatokea mpuuzi mmoja kisa kaona kamera Nabi hafai,Nabi hafai wakati hata kadi ya electronics hana. Mimi leo tufuzu tusifuzu ila Nabi ni bonge la kocha, hamna kazi ngumu kama kuinga timu na ikacheza mpira.
Leo mnajipapatua,fungeni sasa ili mjihakikishie ushindi
 
Back
Top Bottom