Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangekaza hivi tokea mechi na Al Hilal leo tungekuwa na habari nyingineYanga leo eneo la ulinzi limesimama imara sana
Kiukweli hapo kwenye Bold umekosa Uungwana sana!!Kila nikijaribu kuiombea yanga kuna sauti inasema ndani yangu kwamba "USIMJARIBU BWANA MUNGU WAKO". Basi naamua kuitii hiyo sauti mana staki dhambi mimi. Wachezaji wa Yanga wanatamani wangepata ajali kama ile ya precision air ili kuficha aibu yao kwa taifa .
Kaka mkubwa dawa yako nawewe inachemka... subiri...
Na magoli yaje sasaYanga leo anacheza vzr
Leo mnajipapatua,fungeni sasa ili mjihakikishie ushindiYanga kwenye kwenye michuano hii kudominate tupo vizuri issues kutupia nyavuni.
Halafu anatokea mpuuzi mmoja kisa kaona kamera Nabi hafai,Nabi hafai wakati hata kadi ya electronics hana. Mimi leo tufuzu tusifuzu ila Nabi ni bonge la kocha, hamna kazi ngumu kama kuinga timu na ikacheza mpira.