Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Kidogo kidogo mnaanza kubadilisha lugha. Kutoka kufungwa magoli 5 ugenini! Yanga inaenda kuliaibisha Taifa!!!Loosers wamemtindua looser mwenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kidogo kidogo mnaanza kubadilisha lugha. Kutoka kufungwa magoli 5 ugenini! Yanga inaenda kuliaibisha Taifa!!!Loosers wamemtindua looser mwenzao
Unateseka toka upande gani wa dunia [emoji1787]Loosers wamemtindua looser mwenzao
Which God?Dar es salaam Young African
In God we trust.
Kweli kbs, mm ni simba lkn leo yanga kacheza vzr na nimefurahia sn wao kupita ili waongeze point mwakani tupeleke tena timu 4Yanga wamecheza vizuri! Wako well organized..Simba tukubali wenzetu wakifanya vzr
Nikiwa kitandani mkuuUnateseka toka upande gani wa dunia [emoji1787]
Ndio kombe ambalo walau uliwahi fika fainali.Vyovyote vile
HILI BADO NI KOMBE LA LOOSERS
Kweli ulisema leo wananchi mnatinga makundi yaani leo tunafurahi na warembo wa green and yellow
Nina raha hapa, sasa naweza kufungua Baileys Irish cream yangu kwa amani... karibu 😉Kweli ulisema leo wananchi mnatinga makundi yaani leo tunafurahi na warembo wa green and yellow
Unaumia ukiwa wapi.Yanga inaonekana game plan yao ni kufika matuta na sio makundi
Ahsante Saba kesho ni mapumziko usiende kaziniPole kaka mkubwa na hongera kwa kuona mwanga
si ndo walimpiga mtu 7 ama umesahauClub African hawana tofauti na Ihefu
Haya[emoji1787]Nikiwa kitandani mkuu
Kwa lipiii kwa huu ushindi mwembaaaambaaaaqaa 😀 😀 😀Ahsante Saba kesho ni mapumziko usiende kazini