Club ya vijana wenye tabia njema

Hizi zimenigomea kabisa
4,5,
 
hii ni kwa mujibu wako, dhambi na mengine yanayohesabika ni mabaya yanakuwa mabaya kulingana na mtazamo wako, kama dhamiri haikuhukumu na ukifanyacho hakuna ubaya.
Tukisema hivi tutajikuta hakuna dhambi maana kuna watu hata wakiua dhamiri haiwahukumu, actually hicho kinachoitwa dhamiri na kuwahukumu wengi siyo kitu natural bali ni hofu tu ya kutengenezwa baada ya kuenda kinyume na maandiko au mila zilizotungwa, kila mtu akijua ukweli kwamba dini zote na maandiko yote ni uongo basi wataanza kutenda dhambi bila hofu na dhamiri hazitawahukumu tena
 
Ticked every number except 5.
 
Mimi sio muumini wa 1 na 3...siamini katika Mungu Wala uchawi ila namlipa mtu kulingana na atakacho nifanyia...ukija ukanifanyia wema I will never disappoint you.

Ukinifanyia ubaya I will do it to you 100 times...nitahakikisha unajutia ulicho nifanyia...!​
 
We bwan unaningwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…