#COVID19 CNN: After death of Covid-denying president, Tanzania sets roadmap to combat the virus

#COVID19 CNN: After death of Covid-denying president, Tanzania sets roadmap to combat the virus

Kamati aina hata idadi ya wagonjwa waliopo hospitali sasa inahitimisha vipi ugonjwa bado ni tatizo.

Ukiangalia YouTube hits za video kwenye tukio la kukabudhi utafiti hazina ata views 2000.

Same goes na matukio mengine ya mama people don’t follow her as much kama ilivyokuwa kwa Magufuli, she has managed to lose the interest of Tanzanian in very shot space of time.

If anything interest iliyoonyeshwa based on YouTube views watanzania habari za COVID sio jambo linalowanyima usingizi.

Sio kusema chanjo sio jambo muhimu kwa wale wanaohitaji.
 
Na hujuwi kwann walitengeneza hayo magonjwa na kwann walikundunga...

Acha blabla. Mama.. chanjo ya polio, chanjo ya Surua, chanjo ya dondakoo, chanjo ya yellowfever..chanjo ya kifua kikuu zote zinatoka nje ya nchi..Meko alitengeneza chanjo gani??
 
CNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja

Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!

Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
Mbona ndege zao mlizikimbilia wenyewe, chanjo zao mnazikataaje?
 
Ukiwagomea mabeberu watakuita majina yote. Wao ni permanent interest tu.

Btw, CNN ni equal opportunity. Hata Rais wa US aliyepita, Donald Trump, wamemgonga nyundo za kutosha kuhusu Covid-19.

Hata wa sasa, Biden, wanamfuatilia kwa karibu na kumpa ndogo ndogo akielekea kwenda pembeni. Hawana nyimbo za sifa na ibada kwa mtu kama TBC na nduguze.
 
Tanzania tulimuomba MUngu atuepushe na hilo shetani la Corona na Mungu AKATUSHINDIA sisi sio washirikina

Huko unakosema sio washirikina wanavaa barakoa na wazingatia masharti yote ya kujikinga na wamechoma chanjo lakini kila siku wanakufa kama kuku

Sisi hatuna mpango tumeomba Mungu na kujifukiza na kula tangawizi zetu tunadunda mitaani kama kawaida hakuna cha barakoa wala nini ,kwenye daladala tunashonana kama kawaida na huoni watu wakifa ovyo kama kwao
Unavaa chupi na bra za mabeberu
Bisha kenge wewe!
 
CNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja

Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!

Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
Chanjo ya COVID-19 katika baadhi ya Mataifa imeonekana inaathiri waliochanjwa baada ya muda mfupi, je athari za muda mrefu zitakuaje?

Iwapo hao wataalamu wana imani nayo waanze wao kuchanjwa na familia zao, pia Viogozi wote wa Serikali Kuu (Rais, Mawaziri, Makatibu Wakuu, Wabunge) na TAMISEMI (Wakurugenzi, Madiwani, nk).

Kama chanjo itaonekana ni salama ndipo watumishi wa Afya na Wanausalama (Jeshi, Polisi, Uhamiaji na Zimamoto) wafuatie. Hili ni kundi muhimu kwa afya na usalama wetu.

Kundi la mwisho liwe la Walimu ngazi zote. Baada ya hapo Raia wengine kama walivyotajwa kwenye ripoti ya hao Wataalamu.
View attachment COVID-19 REPORT.pdf
 
Ungejua hizo chanjo zilivyo bei rahisi usingeandika huu upupu wako, huku nilipo mimi wote tumepewa chanjo bure. Zimbabwe hadi muda huu washapewa chanjo za bure zaidi ya mil. 2,na mtu wa kwanza kuchanjwa alikuwa Mnangagwa, nyie kaeni na upuuzi wenu mliojazwa na marehemu ambaye corona hiyo hiyo ilimuondoa sababu ya kuamini upuuzi kama huu unaoamini wewe.
Hujui chochote wewe!

Yani ulitaka wewe raia ndio utoe hela?

Hata hapa zikija utadungwa bila kutoa hata sent tano ila selikali ndio itatoa mabilioni
 
una uhakika serikali hailipi?

Hakuna kampuni ya chanjo inayowekeza hela kwenye tafiti, gharama za uzalishaji halafu itoe bure

Sio kampuni. Ni serikali zao ndio zinachangia chanjo zinazoletwa kwetu chini ya mpango wa COVAX unaoratibiwa na WHO. Tanzania tunasubiriwa tuombe rasmi mgao wetu utakaofikishwa nchini bila sisi kulipia kitu.

Marekani pia imelipia chanjo kwa wananchi wake.

Kwa lugha yenu, makampuni ya chanjo yanakula hela za kodi za mabeberu kwa jina lenu.

Kuna wadau walitoa hoja tupewe hizo senti tukamilishe ujenzi wa SGR au JNHPP au tuongeze ndege. Bahati mbaya matumizi hayawezi kubadilishwa. Ni kama zawadi ya bodaboda toka Biko.
 
Watu wanaenda kufanywa watumwa wa dawa inayoitwa chanjo, kudungwa kila baada ya miezi sita. Kuua kinga ya asili ya mapafu ya watu (pulmonary immunity) na kufanya watu waishi kwa kutegemea kudungwa midawa inayoitwa chanjo, tumekwisha.....
 
Kwahiyo sio the late jpm
Ni the late covid denying president
Mabeberu sio watu😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom