eti corona hiyo hiyo ilimuondoa.Ungejua hizo chanjo zilivyo bei rahisi usingeandika huu upupu wako, huku nilipo mimi wote tumepewa chanjo bure. Zimbabwe hadi muda huu washapewa chanjo za bure zaidi ya mil. 2,na mtu wa kwanza kuchanjwa alikuwa Mnangagwa, nyie kaeni na upuuzi wenu mliojazwa na marehemu ambaye corona hiyo hiyo ilimuondoa sababu ya kuamini upuuzi kama huu unaoamini wewe.
halafu nyumbu wanashangilia.Shujaa wa Africa leo anaitwa Covid denying President.....teh
Na ameshaingia lain kweli kweliMama hawezi kupinga ajenda za hao jamaa kashaingia kwenye laini yao tayari
Shujaa wa kizamani...
Najisikia kuheshimiwa sana, kwasababu Rais Magufuli alikua ni mtu imara mwenye upendo, ambae pia alipenda kusikiliza na kutoa mwongozo kwa wenzake.....I felt honoured because presdent magufuli did'nt like much travelling
Covid denier in chief Mangungo Mwalubandika kinjekitile
Mshenzi tu alikuwa. Bora Mungu katuondolea ile laana.Ukiwagomea mabeberu watakuita majina yote. Wao ni permanent interest tu.
wee jamaa wazazi wako ile pesa ya ada waliyokuwa wanakulipia bora wangekuwa wananunulia kitimoto kilo kadhaa na bia za kutosha ili wafurahishe nafsi zao.CNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja
Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!
Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
Hivi viongozi wetu wanajisikiaje wanapoona mabeberu wakishangilia tunakoelekea kuhusu corona? Hivi kuna mtu anadhani wanatupenda sana!! Hivi hali yetu kweli kwa sasa ni mbaya kuhusiana na corona?? Tunatafuta kumfurahisha nani?? Msimamo wetu mpaka sasa unamfurahisha Mungu na umemkasirisha sana shetani na mawakala wake!!
Utakuwa wakala wa shetani wewe siyo bure!!Mshenzi tu alikuwa. Bora Mungu katuondolea ile laana.
Mabeberu huwa ni wana maslahi yao.
Wazungu wat.henge covid ingekuwepo bongo wale jamaa ambao wanajazana kwenye mwendo kasi wandeanza kufa kama simbilisi!!!Shujaa wa Africa leo anaitwa Covid denying President.....teh
Kichwa cha kuku hakihimiri kirembaAcha blabla. Mama.. chanjo ya polio, chanjo ya Surua, chanjo ya dondakoo, chanjo ya yellowfever..chanjo ya kifua kikuu zote zinatoka nje ya nchi..Meko alitengeneza chanjo gani??
Pumba hizoCNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja
Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!
Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
We umerogwa, si bure.Tanzania tulimuomba MUngu atuepushe na hilo shetani la Corona na Mungu AKATUSHINDIA sisi sio washirikina
Huko unakosema sio washirikina wanavaa barakoa na wazingatia masharti yote ya kujikinga na wamechoma chanjo lakini kila siku wanakufa kama kuku
Sisi hatuna mpango tumeomba Mungu na kujifukiza na kula tangawizi zetu tunadunda mitaani kama kawaida hakuna cha barakoa wala nini ,kwenye daladala tunashonana kama kawaida na huoni watu wakifa ovyo kama kwao
Nimecheka kama mazuriNajisikia kuheshimiwa sana, kwasababu Rais Magufuli alikua ni mtu imara mwenye upendo, ambae pia alipenda kusikiliza na kutoa mwongozo kwa wenzake.....
Mkalimani kama mkalimani
Hiyo chanjo ya ndani ikwapi? Tuzidishe maombi?CNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja
Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!
Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
Kalifufueni. Limeshaoza Kule kwenye mabatiCNN na vyombo vya kimataifa lazima sasa watuandike vizuri wenzetu kwenye soko huungana wanajua sisi chanjo hatuna kwa hiyo wanachekelea kuwa mteja huyo Tanzania anakuja
Na Mama Samia ataandikwa vizuri mno na vyombo vya kimataifa kwa kuwapelekea mteja wa chanjo ya Corona Tanzania!!
Hapo wanachelelea soko la chanjo zao kufunguka Tanzania
Mabeberu haya..eti"Covid denying president"