Hapo uliponiquote point out kipi si kweli nilichoandika.Unajua Africa INA wagonjwa wa ukimwi wa ngapi??
Watu wanao kula mlo mmoja wangapi?
Watu wanaokula wanga tu wangapi?
Mzee Africa tatizo LA malnutrition ni kubwa mno there fore swala LA kinga kuwa kubwa just take it with a pinch of salt ,!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata kama una Bima lakini ventilators hazitoshi
Look sisi tunajiingiza kwenye Mega projects lakini hospitali zetu utasema ni machinjio ya wagonjwa
Maji safi na salama hakuna ila tunaenda kununua Ndege kubwa na ghali sana kwa cash
Kwa hiyo virus hatashambulia alveolis ?Ukiweza kufanya mazoezi ya kukimbia katika social distance fanya ni njia ya kuimarisha mapafu pia kula vizuri.
Uwe optimistic sio kila wakati unawaza watu wafe wafe!!Kwa hiyo virus hatashambulia alveolis ?
Organ/Organs muhimu zikishindwa kufanya kazi ipasavyo mwisho wake ni kifo. Kifo kipo hata usipikiwaza.Uwe optimistic sio kila wakati unawaza watu wafe wafe!!
haya nakuwa optimistic : Napanda juu ya mti mrefu najiachia (najisemea kimoyomoyo kuwa hakuna acceleration due to gravity) nikianguka sitaumia.... lazima kuwa optimistic, siyo kila mara Accln due to gravity italeta maafa kwangu....Uwe optimistic sio kila wakati unawaza watu wafe wafe!!
walifanya makosa kama tunayoyafanya now! Wanatutahadhalisha tusifanye makosa hayo
Kwa hiyo virus hatashambulia alveolis ?
Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.
Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.
Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.
Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
Sa si wajitabirie wao wenye hali ngumu wanakufa hovyoNdicho mabeberu wanachotamani kitokee kwa ngozi nyeusi..
Ni hatari sana.
Umesikiliza/kuangallia CCN leo?
Wewe unayesubiria wazungu wake wakusaidie, endelea kusuniri. Mimi na familia yangu tunahakikisha tunachukua tahadhari zote kama tunavyoshauriwa na Serikali na zingine naongeza zangu binafsi. Na nakuakikishia, mimi na familia yangu tutabaki salama na Corona itapita.Wako sahihi sana hao maana mpaka sasa haileti mantiki kwanini hatujafa milioni 10 Afrika, na hatuendelei kufa kwa laki tano kila siku.
Huu ugonjwa unawatesa mataifa yenye uwezo mara 1,000 zaidi yetu Afrika, na ukweli hamna kikubwa tunachokifanya kuzuia, Waafrika tupo tupo siku zinaenda, Corona yenyewe inatupapasa wala haijaonyesha makucha huku mpaka sasa.
Ukitembea mtaani uone tunavyoishi, hata kwa wale ambao wamechukua tahadhari ya hali ya juu Afrika, bado hawajafikia hata robo ya wanachokifanya wale wenye kufa Ulaya.
Hiki kitu jameni wazungu wagundue dawa mapema kabla hakijapata sababu za kutukondolea macho Afrika, maana sisi wenyewe hatuna uwezo hata wa kutengeneza dawa za aina ya panadol.
I subscribe to your view. Wanachokifanya CNN na the Bill Gate Foundation ni kuspread fear tu among Africans ili agenda yao ya chanjo ifanikiwe.Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.
Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.
Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.
Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
And they startled kuona mpaka sasa hatujathirika vya kutosha kama wanavyoteseka wao.Mabeberu wameshaongea mara kadhaa.
Kifupi hawafurahishwi na uwepo wa bara hili. Watafanya kila wanaloona linafaa kutupoteza then watasingizia Corona.
Tujihadhari sana..
Bill G kashaongea several times.. Africans will die in billions.. They don't like our presence in this planet. Aarssholes
Hata mimiSijui kwanini namuelewa sana Magu kwenye hii "hype" ya corona..
Acha kuwa na negativity ?Wewe haujawahi kuchanjwa chanjo yeyote ?Bila chanjo wewe ungekufa kwa surua au ungeshaugua polio. Kwenye chanjo kuna protocols bwana.Acheni kupayuka payuka ujinga.