CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

CNN and Coronavirus: Africa in existential threat

tumekusikia.... kama wao na world class health care wamekamatwa hivi, ikifika kwetu per se tutafanya nini? weka kando neno wasitutishe...
mbona hata mafua ya kawaida huwa yanawachapa sanaaaa wanakufaga kimyakimya miaka yote kwa malaki lakini africa hali huwa haiwi hivyo jiulize kwa nn wao hufa sana kwa mafua ila sisi afrika mafua sio tatizo kubwa pamoja na uduma zetu duni za afya anzia hapo kudasisi. corona naigeria pale imefika toka february hadileo vifo havija fika 100 tena vifo vingi vya nageria ni vya kubumba mtu alikuwa mgojwa maututi kabla ya corona unambiwa kafa kwa corona swali la kujiuliza je nigeria imezishinda nchi za italy, iran, marekan, japan, china, spain, korea kusin, ufaransa, na uingereza kwenye sayansi ya kupambana na mambukizi ya corona? kama jibu ni hapana anzakufikilia upya katika njia zingine za asili zinazo ilinda africa ambazo nchizilizo endelea hazina uwezo huo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Binadamu ana mucus kwenye njia ya hewa, hii ni sehemu ya kinga ya mwili. Hewa ikiingia na uchafu unakamatwa na mucus na uchafu ule unautoa kama kohozi.

Mucus goblets zikishambuliwa na virus ndiyo mafua yanachuruzika na huweza kukohoa. Maambukizi yakitokea kwenye mucus membrane husababisha kikohozi. Ndiyo maana unatumwa kikohozi ili wataalamu wagundue ni maambukizi gani.

Covid-19 hushambulia njia ya hewa na maambukizi huleta joto mpaka centi grade 38-39. Mucus goblets zinashambuliwa kwa kasi na Hutoa makohozi. Mapafu hukosa oxygen.

Afrika maisha yetu ni ya kufanya maoezi muda wote. Si kwa kupenda ni lazima utembee kwakuwa huna nauli ya basi na Gari huna. Mapafu yanakuwa imara. Pia vyakula tunavyokula ni organic.
Duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe pia ni mjinga, umekazia njia za Hygiene peke yake bila kujua kuwa huyu kirusi anakaa pia kwenye hewa kwa masaa kadhaa.

La muhimu zaidi ya yote ni kuepuka misongamano, maana unaweza kunawa mikono na bado mtu akapiga chafya ukaupata.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza fahamu ugonjwa huu kwa Tanzania walionao hawafiki hata 1%. Tatizo lililopo ndio hilo la usafi wa kwako mwenyewe. Vile vile kuangalia kama umeathirika usiueneze kwa wengine.

BTW unasema misongamano kwani upepo unatafuta kwenye misongamano tu? Mnaweza kuwa kwenye misongamano na kama hakuna mwenye huo ugonjwa hakuna kuambukiza kitu chochote, Come outside the box? Mjadala umeurukia tu Je, unafahamu kiini cha mimi kusema niliyoandika? Wacha kukurupuka mkuu hujafukuzwa!
 
Mie nnachoomba na hizi mvua tuepushwe na magonjwa mengine ya mlipuko kama kipindupindu n.k
 
Back
Top Bottom