CNN hires Larry Madowo as Nairobi based correspondent

CNN hires Larry Madowo as Nairobi based correspondent

Sasa wewe ndio mpumbavu wa mwisho kama unatoa mfano wa Mkenya mmoja halafu unageneralize kwamba Wakenya wote hawajui kiswahili. Huo ni ujinga.
Kama speaker wenu hajui kuhesabu tarakimu ni mkenya yupi mwingine atajua?

Hata radio zenu za kiswahili na matangazo yenu yote ya kiswahili huongea yote kwa kiswahili Lakini wakija kwenye numbers tu lazima watumie English sababu wanajua wakenya wote hawajui kiswahili kabisa

Am sure ile hotuba ya samia bungeni kwenu ni less than 10% Kenyans ndio walimuelewa alichokua akizungumza, wengine wote mlikua mnasikia maruerue tu
 
Mimi Sam Mahela TBCccccccccc
Sasa unataka Sam Mahela achukuliwe vipi na CNN halafu Larry Madowo asichukuliwe ikiwa Larry ametangaza BBC North America kwa miaka kadhaa sasa kwa kutumia lugha ya kizungu? Larry pia amefanya masters in journalism at Columbia university, USA. Larry mtu ambaye amefanya kazi BBC tena sio kiswahili service bali english service unaweza kumlinganisha na huyo Sam Mahela? Larry ambaye ana masomo ya hali ya juu ya masters from an Ivy league university ya USA unaweza kumlinganisha na Sam Mahela? Larry ambaye alipokuwa BBC North America aliripoti kwa kutumia lugha ya kingereza matukio haya: kuuwawa kwa George Floyd huko Marekani na maandamano yaliyofuata. Corona virus pandemic ya Marekani na uchaguzi wa Marekani wa mwaka wa 2020. Larry huwezi kumlinganisha na Sam Mahela.
 
Sasa unataka Sam Mahela achukuliwe vipi na CNN halafu Larry Madowo asichukuliwe ikiwa Larry ametangaza BBC North America kwa miaka kadhaa sasa kwa kutumia lugha ya kizungu? Larry pia amefanya masters in journalism at Columbia university, USA. Larry mtu ambaye amefanya kazi BBC tena sio kiswahili service bali english service unaweza kumlinganisha na huyo Sam Mahela? Larry ambaye ana masomo ya hali ya juu ya masters from an Ivy league university ya USA unaweza kumlinganisha na Sam Mahela? Larry ambaye alipokuwa BBC North America aliripoti kwa kutumia lugha ya kingereza matukio haya: kuuwawa kwa George Floyd huko Marekani na maandamano yaliyofuata. Corona virus pandemic ya Marekani na uchaguzi wa Marekani wa mwaka wa 2020. Larry huwezi kumlinganisha na Sam Mahela.
Tony umechukuwa serious mimi najuwa kachukuliwa mtu anajielewa natoa changamoto tu ya watangazaji wetu kuwa wako nyuma sana tena sana. Sisi wa Tanzania huwa tunalalamika hawa wa Kenya wanatuzidi lakini nimesema hata ingekuwa wanatafuta mtangazaji kwa Kiswahili wangechukuwa toka Kenya sababu sisi watangazaji wetu upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana au hakuna kabisa.
 
Tony umechukuwa serious mimi najuwa kachukuliwa mtu anajielewa natoa changamoto tu ya watangazaji wetu kuwa wako nyuma sana tena sana. Sisi wa Tanzania huwa tunalalamika hawa wa Kenya wanatuzidi lakini nimesema hata ingekuwa wanatafuta mtangazaji kwa Kiswahili wangechukuwa toka Kenya sababu sisi watangazaji wetu upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana au hakuna kabisa.
Wewe upeo wako wa kuchambua ndio unaweza kuwa haupo kabisa, unataka wawe wanahoji upumbavu wa mbowe au lissu? Ninachopendea media zetu ni kwamba zinamtambua kilaza mapema sana na zinakua very strictly kuikinga Jamii from consuming pumba from them, ndio maana hawawapi airtime
 
Kama speaker wenu hajui kuhesabu tarakimu ni mkenya yupi mwingine atajua?

Hata radio zenu za kiswahili na matangazo yenu yote ya kiswahili huongea yote kwa kiswahili Lakini wakija kwenye numbers tu lazima watumie English sababu wanajua wakenya wote hawajui kiswahili kabisa

Am sure ile hotuba ya samia bungeni kwenu ni less than 10% Kenyans ndio walimuelewa alichokua akizungumza, wengine wote mlikua mnasikia maruerue tu
Kwa habari yako Wakenya zaidi ya 98% wanakifahamu na kukizungumza lugha ya kiswahili. Kiswahili chetu ni tofauti na chenu lakini ukweli ni kwamba ukija Kenya utapata kwamba hakuna lugha kinachozungumzwa hapa zaidi ya kiswahili. Tembea Kenya usiwe unajifungia katika nchi yako. Watanzania waliosomea Kenya washakueleza kwamba huku tunazungumza kiswahili japo nakiri kwamba sio kiswahili sanifu kama chenu. Unaweza pinga ukitaka lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Just because kiswahili chetu ni tofauti na chenu hakumaanishi kwamba hatukizungumzi.
 
Kwa habari yako Wakenya zaidi ya 98% wanakifahamu na kukizungumza lugha ya kiswahili. Kiswahili chetu ni tofauti na chenu lakini ukweli ni kwamba ukija Kenya utapata kwamba hakuna lugha kinachozungumzwa hapa zaidi ya kiswahili. Tembea Kenya usiwe unajifungia katika nchi yako. Watanzania waliosomea Kenya washakueleza kwamba huku tunazungumza kiswahili japo nakiri kwamba sio kiswahili sanifu kama chenu. Unaweza pinga ukitaka lakini ukweli utabakia kuwa ukweli. Just because kiswahili chetu ni tofauti na chenu hakumaanishi kwamba hatukizungumzi.
Kiswahili kipi? Hiki? Hata kumake sentence ilikua shida 😅😅😅
 
Tony umechukuwa serious mimi najuwa kachukuliwa mtu anajielewa natoa changamoto tu ya watangazaji wetu kuwa wako nyuma sana tena sana. Sisi wa Tanzania huwa tunalalamika hawa wa Kenya wanatuzidi lakini nimesema hata ingekuwa wanatafuta mtangazaji kwa Kiswahili wangechukuwa toka Kenya sababu sisi watangazaji wetu upeo wao wa kuchambua mambo ni mdogo sana au hakuna kabisa.
Asante. Nimekuelewa sasa.
 
Wewe upeo wako wa kuchambua ndio unaweza kuwa haupo kabisa, unataka wawe wanahoji upumbavu wa mbowe au lissu? Ninachopendea media zetu ni kwamba zinamtambua kilaza mapema sana na zinakua very strictly kuikinga Jamii from consuming pumba from them, ndio maana hawawapi airtime
Mbowe na Lissu wametoka wapi tena mbona mapovu? nimesema hawawezi kuuliza serikali tu maswala muhimu wewe umesharukia Mbowe. siwalaumu CNN kuchukuwa wa kenya kwa akili hizi tutaburuzwa sana tu.
 
Kiswahili kipi? Hiki? Hata kumake sentence ilikua shida 😅😅😅

Kiswahili chetu huwa hatuzingatii sana ngeli wala usanifu wake. Yaani tunaboronga kwa kwenda mbele. Ila kiswahili chetu ni kizuri kushinda cha Congo. Chenu ndio the best lakini chetu pia kinaeleweka. Watanzania wanaokuja Kenya wanatuelewa bila tatizo lolote na sisi tunawaelewa bila shida. Kwa hivyo Mkenya akizungumza kwa lugha ya Kiswahili basi Mtanzania atamwelewa tu hata mama Samia alisema hivyo katika hotuba yake kwenye bunge la Kenya. Yaani licha ya kiswahili chetu kuwa na makosa ya ngeli bado mnatuelewa tu tunapozungumza. Halafu wakenya waliosomea uanahabari wana kiswahili kizuri sana kwa mfano marehemu Ken Walibora. Pia Kenya ina wahadhiri na maprofesa wa lugha ya kiswahili waliobobea. Halafu watu wa pwani la Kenya wanaongea kiswahili sanifu.
 
Mbowe na Lissu wametoka wapi tena mbona mapovu? nimesema hawawezi kuuliza serikali tu maswala muhimu wewe umesharukia Mbowe. siwalaumu CNN kuchukuwa wa kenya kwa akili hizi tutaburuzwa sana tu.
Utaburuzwa na nani bro mbona una akili finyu sana? Yaani unataka kuleta national level competition kwenye kijinafasi cha kureport cnn? Kisa mkenya kapata kicho kibarua cha kujishikiza hapo cnn ndio anawaburuza watanzania zaidi ya million 60?

Upeo wako mdogo sana kwenye kuingiza role ya Taifa, wangechukua bomba la mafuta Uganda kisa English au any bigger economic interests kisa English ndio ningekuona una sound sane Lakini kwa hichi kipost cha cnn unasound kaa mwendawazimu
 
Kiswahili chetu huwa hatuzingatii sana ngeli wala usanifu wake. Yaani tunaboronga kwa kwenda mbele. Ila kiswahili chetu ni kizuri kushinda cha Congo. Chenu ndio the best lakini chetu pia kinaeleweka. Watanzania wanaokuja Kenya wanatuelewa bila tatizo lolote na sisi tunawaelewa bila shida. Kwa hivyo Mkenya akizungumza kwa lugha ya Kiswahili basi Mtanzania atamwelewa tu hata mama Samia alisema hivyo katika hotuba yake kwenye bunge la Kenya. Yaani licha ya kiswahili chetu kuwa na makosa ya ngeli bado mnatuelewa tu tunapozungumza. Halafu wakenya waliosomea uanahabari wana kiswahili kizuri sana kwa mfano marehemu Ken Walibora. Pia Kenya ina wahadhiri na maprofesa wa lugha ya kiswahili waliobobea.
Spika wa bunge kushindwa kusoma tarakimu ni aibu ya taifa zima la Kenya though kwa Tanzania hata sidhani kama kuna aliejua hili

Ila je kama ingekua ni Ndugai kashindwa kusoma numbers in English mbele ya Rais wa Kenya, how Kenyans would have been reacting to the coincidence? Only God knows

Lakini huko kwenu Spika kala mweleka Lakini hata hakuna mtanzania ameongea nafikiri mimi ndio wa kwanza kuraise concern.
 
Wewe upeo wako wa kuchambua ndio unaweza kuwa haupo kabisa, unataka wawe wanahoji upumbavu wa mbowe au lissu? Ninachopendea media zetu ni kwamba zinamtambua kilaza mapema sana na zinakua very strictly kuikinga Jamii from consuming pumba from them, ndio maana hawawapi airtime
Na mbona media zenu hazichambui pumba anazosema waziri wenu wa afya? Sijui mara anaagiza dawa ya miti shamba kutoka Madagascar, mara anaagiza kila mtu ajifukize. Yaani hakuna mwanahabari hata mmoja mwenye pumbu za kiume anayeweza kupinga kauli hizo? Kila mtu anakubaliana nazo licha ya maagizo haya ya waziri kuwa ni upuuzi mtupu
 
Utaburuzwa na nani bro mbona una akili finyu sana? Yaani unataka kuleta national level competition kwenye kijinafasi cha kureport cnn? Kisa mkenya kapata kicho kibarua cha kujishikiza hapo cnn ndio anawaburuza watanzania zaidi ya million 60?

Upeo wako mdogo sana kwenye kuingiza role ya Taifa, wangechukua bomba la mafuta Uganda kisa English au any bigger economic interests kisa English ndio ningekuona una sound sane Lakini kwa hichi kipost cha cnn unasound kaa mwendawazimu
Wewe ni mtu wa chuki sasa unachanganya mada mara Mbowe, Lissu mara bomba la Gas mara mkenya. Hapa anaongelewa mtu kapata kazi CNN kuwakilisha reporting ukanda wetu huu, wewe kwa maandishi yako na kuchanganya kizungu sio kwamba hatujui kuandika kizungu ila inakuonesha ni mtu wa aina gani. Chuki zimekutawala hii mbaya sana itakuleta maradhi bure maisha furahia tu toa maoni yako bila kujitia ghadhabu maisha mafupi.
 
Kama speaker wenu hajui kuhesabu tarakimu ni mkenya yupi mwingine atajua?

Hata radio zenu za kiswahili na matangazo yenu yote ya kiswahili huongea yote kwa kiswahili Lakini wakija kwenye numbers tu lazima watumie English sababu wanajua wakenya wote hawajui kiswahili kabisa

Am sure ile hotuba ya samia bungeni kwenu ni less than 10% Kenyans ndio walimuelewa alichokua akizungumza, wengine wote mlikua mnasikia maruerue tu
Hicho kiswahili kimewafikisha wapi?
 
Utaburuzwa na nani bro mbona una akili finyu sana? Yaani unataka kuleta national level competition kwenye kijinafasi cha kureport cnn? Kisa mkenya kapata kicho kibarua cha kujishikiza hapo cnn ndio anawaburuza watanzania zaidi ya million 60?

Upeo wako mdogo sana kwenye kuingiza role ya Taifa, wangechukua bomba la mafuta Uganda kisa English au any bigger economic interests kisa English ndio ningekuona una sound sane Lakini kwa hichi kipost cha cnn unasound kaa mwendawazimu
Au sam Mahela wewe ume panic
 
Na mbona media zenu hazichambui pumba anazosema waziri wenu wa afya? Sijui mara anaagiza dawa ya miti shamba kutoka Madagascar, mara anaagiza kila mtu ajifukize. Yaani hakuna mwanahabari hata mmoja mwenye pumbu za kiume anayeweza kupinga kauli hizo? Kila mtu anakubaliana nazo licha ya maagizo haya ya waziri kuwa ni upuuzi mtupu
Hiyo mitishamba ndio Wazungu hutumia pia na ndio dawa zinazofanya Tanzania ionekane haina corona sababu ndio zinazotumika kwenye vituo vya wagonjwa wa corona na mitishamba hiyo inawaponyesha

 
Hicho kiswahili kimewafikisha wapi?
Kimetufanya tumekua Taifa 1 na tupo unique duniani sababu ndio Taifa pekee lenye lugha 1 inayoliunganisha

Actually bongo flava ipo kwenye World's Arena saivi sababu ya kiswahili, outsiders comment it's the most romantic language ever in music, soothing soul
 
Wewe ni mtu wa chuki sasa unachanganya mada mara Mbowe, Lissu mara bomba la Gas mara mkenya. Hapa anaongelewa mtu kapata kazi CNN kuwakilisha reporting ukanda wetu huu, wewe kwa maandishi yako na kuchanganya kizungu sio kwamba hatujui kuandika kizungu ila inakuonesha ni mtu wa aina gani. Chuki zimekutawala hii mbaya sana itakuleta maradhi bure maisha furahia tu toa maoni yako bila kujitia ghadhabu maisha mafupi.
Kwa hiyo unanisuta ama? 😅😅😅

Leta hoja bro niondolee maumivu mimi 🤣🤣

Hoja zinakupiga ngwara unaleta hisia 😜
 
Back
Top Bottom