CNN hires Larry Madowo as Nairobi based correspondent

Ni utambulisho wa mtanzania, mkenya akiingia Tanzania the moment he she opens the mouth every one knows huyu sio mtanzania, the same to any national

Hiyo ni faida kubwa sana ya kuwa na lugha yetu ya swahili
Actually ndio the common trick Tanzania migrations use to screen illegal migrants
 
Sababu ya kuwa na lugha moja ni ju ya wakenya ama ni sifa gani munatafuta kwa hii dunia?
Tanzania tunaongea lugha nyingi tu, yapo zaidi ya makabila 125 na kila moja lina lugha yake

 
Actually ndio the common trick Tanzania migrations use to screen illegal migrants
Ndiyo mbinu muitumiayo kumbe 😬🤣... Nina rafiki yangu amezaliwa huku na baba na mama wa kibongo, amekulia huku, kusoma kila kitu. Sasa huyo akija kwa babu zake huko si immigration officials watasema ni mkenya, sababu ka Kiswahili ni cha KE sio cha Tz. Sasa hapo screening haina maana ka ndo system ya ku screen illegal crossers! 🤣
 
Akizaliwa huko huyo sio mtanzania
 
Na wana invest sana kwa wanahabari walio wabobezi kwenye nyanja mbalimbali, ndo maana journalist/media personalities wa KE wanakula hela ndefu kichizi. Hiyo yote experience + kujituma + mvumbuzi nk
 
Wabongo mje mjifunze huku,sio makelele yenu mnayopiga kwenye vipindi vya kijinga kama leo Tena,kusoma magazeti na story za udaku,
Kuanzia wasafi tv,Efm,clouds,uki sikiliza vipindi vyao ni copy n paste,hakuna ubunifu.
Kuna kipindi Cha EFM,story ya leo,nikisikia huwa nataka kutapika,maana hakina uhalisia ni story ya kutunga tu,Ili kukamata attention ya wasikilizaji,
Karne ya leo,unarusha kipindi chenye mfanano na kipindi Cha "mama na mwana",Cha radio Tanzania chini ya Deborah mwenda,miaka ya 80!
Ukimtoa Doto burendu,na Regina Mziwanda wa bbc Swahili,na wakongwe wa Azam,mtangazaji gani wa hizi radio zetu kuanzia wasafi,Efm,radio one,ITV,star tv,anaweza kuajiriwa na BBC au CNN,Aljazeera Tena awe anatangaza kutokea Ulaya,au Amerika?
Kiswahili chenyewe Cha mtaani,kizungu itawezekana?
 
😂 😂 😂 Anaweza kupata dual citizenship akitaka. Ama kwenyu hamkubali hiyo kitu!
Kwao hawana dual citizenship. Bado wanatumia katiba ya kikoloni. Wamekataa kubadilisha. Katiba yao inamfanya rais kuwa Mungu mtu kwa kupewa madaraka yote.
 
Nyang'au stima ipo pande hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…