CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

Nimechukua point ya TIMING OF THE ARREST hapo ndipo hoja ya polisi inapokosa uhalali kwa sababu kama kweli Mbowe alikuwepo mtaani wanamuona ila alipoenda tu Mwanza kwenye kongamano la katiba ndio alipokamatwa maana yake kama angeenda kwa shunguli zake binafsi isingekua shida. Wenzetu ndio Wana waandishi wa habari wanaochambua na kuchunguza halafu wako neutral kwa sababu ndio kazi yao sio sisi huku wako makanjanja wengine anafanya kazi huku akifikiria uteuzi
Yaani yule profesa mchambuzi pale CNN kaongea kila kitu tena very clear kwa kila kinachotokea katika nchi yetu
 
Siyo Kweli mkuu. Lakini hakuna wa kubeza CNN, Trumpa haipendi sababu ilimkosoa sana. Tazama link:

Mkuu CNN ni kituo cha tv ambacho kipo kimaslahi zaidi na kilitumika kwa kiasi kikubwa katika kampeni za urais wa Marekani dhidi ya Donald Trump
Unachosema ni kweli mkuu.

Hata hivyo, ni kosa baya sana ku underestimate chombo kinachotizamwa na walau watu 400,000 kwa siku.

Hiyo namba sio ndogo na hata Trump anafahamu ni namna gani the so called fake media house ilichangia demise yake.

"In the final quarter of 2020, CNN averaged 412 thousand total day viewers aged between 25 and 54 years.

The cable news network managed to attract a greater amount of viewers from this younger demographic compared to its competitors Fox News and MSNBC.

Fox News was the leading network with almost 1.84 million total day viewers in Q4 2020"

Source: statista.com
Mkuu CNN wapo biased sana katika kuripoti mambo ya human rights ukichukulia masuala ya Palestine kwa hiyo haiaminiki sana. Kuhusu mahusiano ya serikali ya awamu ya sita na nchi za magharibi Chadema wasitegemee kupata support yeyote kwani mahusiano yameimarika sana hata leo tumeona serikali Marekani ikiikabidhii chanjo za covid 19 kwa Waziri wa Afya wa Tanzania masuala ya human rights serikali ya awamu ya 6 kwa kipindi kifupi imeonyesha mabadiliko makubwa mpaka Chadema wameshtuka kuona umaarufu wao unaanza kushuka kwa kasi mpaka wakaja kuanzisha vurugu za kudai katiba mpya.
Mbowe alifanya ziara Tanzania nzima lakini mapokezi aliyopata yalikuwa madogo sana. Sasa Tundu Lissu, Mbowe na Maria Sarungi kukimbilia hizi main stream media kama CNN haiwezi kuwasaidia wanatakiwa wawe nasubira kama Rais Samia Suluhu Hassan alivyoahidi atashughulikia masuala ya katiba baada ya kujenga uchumi baada ya taifa kuathirika kwa kiasi kikubwa kiuchumi kwa ajili ya janga la Covid19
 
Mama samia,, wewe ni Muisilamu wakweli, una imani, huluma, na rais wa wanyonge. Hebu tenda haki,pitisha hii katiba mpya.
 
Mkuu CNN ni kituo cha tv ambacho kipo kimaslahi zaidi na kilitumika kwa kiasi kikubwa katika kampeni za urais wa Marekani dhidi ya Donald Trump

Mkuu CNN wapo biased sana katika kuripoti mambo ya human rights ukichukulia masuala ya Palestine kwa hiyo haiaminiki sana. Kuhusu mahusiano ya serikali ya awamu ya sita na nchi za magharibi Chadema wasitegemee kupata support yeyote kwani mahusiano yameimarika sana hata leo tumeona serikali Marekani ikiikabidhii chanjo za covid 19 kwa Waziri wa Afya wa Tanzania masuala ya human rights serikali ya awamu ya 6 kwa kipindi kifupi imeonyesha mabadiliko makubwa mpaka Chadema wameshtuka kuona umaarufu wao unaanza kushuka kwa kasi mpaka wakaja kuanzisha vurugu za kudai katiba mpya.
Mbowe alifanya ziara Tanzania nzima lakini mapokezi aliyopata yalikuwa madogo sana. Sasa Tundu Lissu, Mbowe na Maria Sarungi kukimbilia hizi main stream media kama CNN haiwezi kuwasaidia wanatakiwa wawe nasubira kama Rais Samia Suluhu Hassan alivyoahidi atashughulikia masuala ya katiba baada ya kujenga uchumi baada ya taifa kuathirika kwa kiasi kikubwa kiuchumi kwa ajili ya janga la Covid19

Mkuu Mbona mnakuwa na mawazo ya ajabu mkuu?

Mikutano ya Kisiasa ni haki ya Kikatiba. Kwa nini inazuiliwa na wanaruhusiwa CCM tu?
Kusanyiko ni haki ya kikatiba pia.

Uhuru wa maoni na mijadala ya kisiasa ni haki pia ya kikatiba . Mbona zinavunjwa. Nani anavunja na haya ni Maagano kati ya watwaliwa na watawala?

Halihitaji Nani kuahidi ni au nini?. kwa nini aahidi wakati katiba imeruhusu haya Mambo?

Nchi inaongozwa na nini kama si katiba?. Kilichompa mama Uraisi ni nini kama siyo Katiba?. SASA kwa nini vifungu vingine vinaminywa, na kubiruhusu ionekane kama hisani?
 
CCM huwa hawa- calculate impact ya mambo yao ya kijinga wanayofanya, wanakurupuka wanaharibu halafu kesho wanaanza safari za kwenda nje kuongea na nchi wahisani, chama cha kichovu sana, ndio maana taifa linazidi kuzama kwenye umasikini wakati wao toka 1961 wanasema wanapambana nao.
Ku-calculate impact ya kitu unachotaka kukifanya, inahitajika uwe na akili. Hawa wa kwetu hawana huo uwezo.
 
Hawa jamaa
Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya kijasusi kama CIA ni kuptia vyombo hivi vilivyoenea duniani kote, mfano BBC inatumika na MI6, kuna Aljazeera huko Asia na kadhalika.

Kiuhalisia CNN inaichambua hali yetu ya kisiasa kama ya mwaka mmoja uliopita na ikimnasibisha Mama yetu na Hayati Magufuli. Inasema kuwa yeye alikuwa msaidizi wake so inawezekana ameamua kuendeleza mfumo ule. Kimataifa hii inaturudisha kule tulipotoka, kule kwenye matamko ya jumuiya ya kimataifa, kule kwenye kuanza kututenga na kumuandama Rais wetu.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tunapaswa kujenga taswira nzuri kimataifa. Simaanishi Sheria zisifuatwe la hasha lakini hizi sheria zinazoleta makosa yanayomnyima mtu Dhamana hata Samia alishazuia kutumika hovyo. Tunakumbuka kesi ya kina Mbowe ambayo walishinda kwa rufaa na kurudishiwa fedha zao, ikumbuke Mbowe alishakaa ndani miezi mi4 kama Sugu na Lema na wengineo.

CNN wanahoji je kudai katiba mpya, kukusanyika, kufanya kusanyiko wa kisiasa ni "Constitutional Rights" (Wao wameziona wapi hizi haki?) means wamesoma katiba yetu.

Kwa jicho la tatu maana yake wao wanaona kama Serikali yetu inatunyima haki zetu za kikatiba. Hii ina maana mbaya sana kwa 6th Regime ya JMTkimataifa hasa kipindi hiki ambacho Mama anataka kuifungua nchi kuongeza wawekezaji na kuleta Maendeleo ya kiuchumi.

Serikali ipambane na wavunja Sheria,iendelee kupambana na ugaidi lakini isiwabambikie kesi hasa kwa makosa yanayonyima dhamana.

Kazi na iendelee!




Hawa jamaa walichangia sana kumwangusha Trump,itakuwa huyu wa Unguja,Sirro na Mabeyo!
 
Mkuu Mbona mnakuwa na mawazo ya ajabu mkuu?

Mikutano ya Kisiasa ni haki ya Kikatiba. Kwa nini inazuiliwa na wanaruhusiwa CCM tu?
Kusanyiko ni haki ya kikatiba pia.

Uhuru wa maoni na mijadala ya kisiasa ni haki pia ya kikatiba . Mbona zinavunjwa. Nani anavunja na haya ni Maagano kati ya watwaliwa na watawala?

Halihitaji Nani kuahidi ni au nini?. kwa nini aahidi wakati katiba imeruhusu haya Mambo?

Nchi inaongozwa na nini kama si katiba?. Kilichompa mama Uraisi ni nini kama siyo Katiba?. SASA kwa nini vifungu vingine vinaminywa, na kubiruhusu ionekane kama hisani?
Kweli kuwa na mikutano ni haki zao za kikatiba lakini lazima serikali iangalie mikutano hiyo itakuwa na madhara gani kwa taifa letu kwani lugha za viongozi waandamizi wa Chadema akiwemo Mbowe zimeonekana ni tishio kwa usalama wa taifa mfano Mbowe kumuita Mkuu wa Wilaya ya Ilemela Mpumbavu ilikuwa sahihi ? Chadema wafanye siasa za kistaarabu watoke kwenye siasa za Radical Politics.
 
Hakuna mtu niliamini atatutoa jalalani kama huyu mama. Yaani ameamua kutupeleka tabata dampo kabisa. Ngoja nisimalize maneno yote.
 
Nakuelewa katika baadhi ya points mkuu.

Hata hivyo, CNN iwe fake ama genuine, viewership ya wamarakani pekee ya 412,000 kwa siku sio ya kubeza.

Viongozi wetu wanaweza/wangeweza ku handle hizi situations in a smarter way.

Ni muhimu kuzingatia kwamba katika dunia ya sasa, it isn't about being real, smartness is the key.

Kwa vyovyote, serikali inatakiwa kulinda reputation yetu. Serikali ina watu smart, inaweza fanya hili.

Watu wengi wanaweza wasielewe sana haya yanatupeleka wapi. Lakini believe you me, sio kuzuri.

Lakini kama mtu ambaye nipo kwenye tour operator business, najua trend ya biashara imeendaje in the past 6 years.

Nafahamu ni aina gani ya maswali potential clients wamekua wakiuliza baada ya kuona 'the so called fake news' kwenye media.

Negatives zilizoandikwa kwenye travel advisory websites za 'mabeberu' zingeweza kuepukika kwa watu wachache kuwa smart.

To make things worse, maswali ambayo overseas travel partners wetu wamekua wakituuliza in terms of stability ya politics zetu hayana uelekeo mzuri.

Anyway, pengine naangalia zaidi maslahi, lakini vyovyote itakavyokua....maslahi ya private sector yakiwa mazuri na serikali itapata ustawi.

Na, hakuna namna nzuri ya kuistawisha private sector zaidi ya stable politics with a distinguished reputation.
Mkuu mpaka sasa serikali ya awamu ya sita ipo kwenye right track kwenye masuala ya uchumi ingawa kuna wahuni wachache wanajaribu ku tarnish ama kuchafua jina la serikali kwa manufaa zao kisiasa. Rais Samia Suluhu huu ni mwezi wa 4 toka achukue madaraka na unakumbuka jinsi serikali ya awamu ya 5 ilivyoharibu mahusiano yetu na jumuiya za kimataifa, kazi kubwa serikali ilichofanya ni kurudisha confidence kwa hawa jamaa na kwa kiasi kikubwa imefanikiwa leo wakulima wa Tanzania wanauza mazao kwa nchi jirani bila shida. Nilitegemea kipindi cha mwanzo wa utawala wa serikali ya awamu 6 vyama vyote vitaunga mkono juhudi lakini leo tunaona mambo ya kihuni yakifanyika na lugha za kibabe na dharau.
Nakuelewa katika baadhi ya points mkuu.

Hata hivyo, CNN iwe fake ama genuine, viewership ya wamarakani pekee ya 412,000 kwa siku sio ya kubeza.

Viongozi wetu wanaweza/wangeweza ku handle hizi situations in a smarter way.

Ni muhimu kuzingatia kwamba katika dunia ya sasa, it isn't about being real, smartness is the key.

Kwa vyovyote, serikali inatakiwa kulinda reputation yetu. Serikali ina watu smart, inaweza fanya hili.

Watu wengi wanaweza wasielewe sana haya yanatupeleka wapi. Lakini believe you me, sio kuzuri.

Lakini kama mtu ambaye nipo kwenye tour operator business, najua trend ya biashara imeendaje in the past 6 years.

Nafahamu ni aina gani ya maswali potential clients wamekua wakiuliza baada ya kuona 'the so called fake news' kwenye media.

Negatives zilizoandikwa kwenye travel advisory websites za 'mabeberu' zingeweza kuepukika kwa watu wachache kuwa smart.

To make things worse, maswali ambayo overseas travel partners wetu wamekua wakituuliza in terms of stability ya politics zetu hayana uelekeo mzuri.

Anyway, pengine naangalia zaidi maslahi, lakini vyovyote itakavyokua....maslahi ya private sector yakiwa mazuri na serikali itapata ustawi.

Na, hakuna namna nzuri ya kuistawisha private sector zaidi ya stable politics with a distinguished reputation.
 
Back
Top Bottom