CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

CNN ni sehemu ya CIA: Mtazamo wao kuhusu Serikali yetu ni mtazamo wa Jumuiya ya Kimataifa. Tusiwapuuze!

Donald Trump alishasema CNN ni fake news kazi yao ni kufanya propogada kwa maslahi ya main stream media. Ukitaka kujua mengi zaidi kuhusu hii fake news watch Fox News hao ndio kiboko yao. Wamarekani wengi hawaangalii CNN
Fox wenyewe walilipoti hii habari au ukuona?
 
Unaishi dunia gani? Wenzako walishapata chanjo na sasa juzi adi Euro tuliona wamejazana viwanjani halafu unaongea mambo ya mikusanyiko?
Kitu hujui ficha upuuzi wako. Uingereza Waziri wa Afya kaugua baada ya kuchanjwa. Waziri Mkuu kajilockdown kwa vile alikuwa karibu na huyo waziri. Usisahau kuwa Mbowe alimzika kaka yake aliyekufa kwa Corona, baadala ya kui-lockdown akaenda Mwanza kuambukiza kanda ya ziwa. Hiyo ni haki?
 
Mwongo wewe.
Unaongea ki CCM CCM tu.
Nawewe unaongea kichadema chadema tu. Msitegemee hata siku moja jumuia za kimataifa kuunga mkono hoja zenu za kipuuzi
Leo mnakwenda kuinga mavazi ya vichaa Malema na Bob Wine mnafikiri huo uhuni wenu wa kutaka kuleta machafuko hapa nchini utafanikiwa ?
 
Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya kijasusi kama CIA ni kuptia vyombo hivi vilivyoenea duniani kote, mfano BBC inatumika na MI6, kuna Aljazeera huko Asia na kadhalika.

Kiuhalisia CNN inaichambua hali yetu ya kisiasa kama ya mwaka mmoja uliopita na ikimnasibisha Mama yetu na Hayati Magufuli. Inasema kuwa yeye alikuwa msaidizi wake so inawezekana ameamua kuendeleza mfumo ule. Kimataifa hii inaturudisha kule tulipotoka, kule kwenye matamko ya jumuiya ya kimataifa, kule kwenye kuanza kututenga na kumuandama Rais wetu.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tunapaswa kujenga taswira nzuri kimataifa. Simaanishi Sheria zisifuatwe la hasha lakini hizi sheria zinazoleta makosa yanayomnyima mtu Dhamana hata Samia alishazuia kutumika hovyo. Tunakumbuka kesi ya kina Mbowe ambayo walishinda kwa rufaa na kurudishiwa fedha zao, ikumbuke Mbowe alishakaa ndani miezi mi4 kama Sugu na Lema na wengineo.

CNN wanahoji je kudai katiba mpya, kukusanyika, kufanya kusanyiko wa kisiasa ni "Constitutional Rights" (Wao wameziona wapi hizi haki?) means wamesoma katiba yetu.

Kwa jicho la tatu maana yake wao wanaona kama Serikali yetu inatunyima haki zetu za kikatiba. Hii ina maana mbaya sana kwa 6th Regime ya JMTkimataifa hasa kipindi hiki ambacho Mama anataka kuifungua nchi kuongeza wawekezaji na kuleta Maendeleo ya kiuchumi.

Serikali ipambane na wavunja Sheria,iendelee kupambana na ugaidi lakini isiwabambikie kesi hasa kwa makosa yanayonyima dhamana.

Kazi na iendelee!



Umeji contradict kinyama. Umeanza kwa kua na mashaka na CNN. Afu mwisho wa maelezo yako una wassuport tena CNN Kwamba wamefanya la maana kutangaza ili mbowe atoke. Una ji contadict mkuu
 
Halafu hata haipendezi, Mwanamke eti unakuwa dictator! How comes?
Uongozi wa ccm ni mfumo na sio mtu,huu mfanano wa mambo uwastueni kwamba tatizo sio Jiwe au mama,bali mfumo uliowazalisha ndio ambao unawataka wawe hivi.
Sijajua kama deep state inahusika na haya au la!kama ndio wao wanaendesha mambo haya basi tuna safari ndefu.
Kama si wao basi nawaambia tu wanafanya kosa kubwa kuendelea kuikumbatia ccm.Walipaswa kuwa wameshaandaa mbadala wa ccm kisera,kimkakati,kiutendaji na kinguvu kazi na kipindi hiki kingekuwa cha kuiwekea mitego tu ijilipue yenyewe.
Ccm na mfumo wake n aina ya watu iliyo nao ndio tatizo kuu la taifaa hili kwa sasa.No doubt about it.!yaani nna uhakika hata wenyewe hawajui waibadilisheje ccm yao!beyond repair!
 
CCM huwa hawa- calculate impact ya mambo yao ya kijinga wanayofanya, wanakurupuka wanaharibu halafu kesho wanaanza safari za kwenda nje kuongea na nchi wahisani, chama cha kichovu sana, ndio maana taifa linazidi kuzama kwenye umasikini wakati wao toka 1961 wanasema wanapambana nao.
Haina tofauti na kupora uchaguzi na kujipa wabunge wote halafu wakasahau wanatakiwa wawe na kambi ya upinzani.CCM ni wajinga kweli.😂😂😂😂
 
Uongozi wa ccm ni mfumo na sio mtu,huu mfanano wa mambo uwastueni kwamba tatizo sio Jiwe au mama,bali mfumo uliowazalisha ndio ambao unawataka wawe hivi.
Sijajua kama deep state inahusika na haya au la!kama ndio wao wanaendesha mambo haya basi tuna safari ndefu.
Kama si wao basi nawaambia tu wanafanya kosa kubwa kuendelea kuikumbatia ccm.Walipaswa kuwa wameshaandaa mbadala wa ccm kisera,kimkakati,kiutendaji na kinguvu kazi na kipindi hiki kingekuwa cha kuiwekea mitego tu ijilipue yenyewe.
Ccm na mfumo wake n aina ya watu iliyo nao ndio tatizo kuu la taifaa hili kwa sasa.No doubt about it.!yaani nna uhakika hata wenyewe hawajui waibadilisheje ccm yao!beyond repair!
You got an argument that merits examining in more detail: CCM na mfumo wake?; aina ya watu ilionao(?)

I will put my money on the later: aina ya watu ilionao.

I hope I'll have time to come back to this posting of yours and give it a little more time because it is thought provoking.
 
You got an argument that merits examining in more detail: CCM na mfumo wake?; aina ya watu ilionao(?)

I will put my money on the later: aina ya watu ilionao.

I hope I'll have time to come back to this posting of yours and give it a little more time because it is thought provoking.

Kwa lugha yetu mkuu ili tuelewe
 
Nimejaribu kutafakari uchambuzi wa CNN kuhusu kushikiliwa kwa Freeman Mbowe, kuna kitu wanaongelea sana pale "timing of arrest". Nadhani exposure yao ni kubwa sana kwa siasa za mataifa mbalimbali ikiwemo siasa za bara la Africa. Tunafahamu katika tools za kupatia taarifa kwa mashirika ya kijasusi kama CIA ni kuptia vyombo hivi vilivyoenea duniani kote, mfano BBC inatumika na MI6, kuna Aljazeera huko Asia na kadhalika.

Kiuhalisia CNN inaichambua hali yetu ya kisiasa kama ya mwaka mmoja uliopita na ikimnasibisha Mama yetu na Hayati Magufuli. Inasema kuwa yeye alikuwa msaidizi wake so inawezekana ameamua kuendeleza mfumo ule. Kimataifa hii inaturudisha kule tulipotoka, kule kwenye matamko ya jumuiya ya kimataifa, kule kwenye kuanza kututenga na kumuandama Rais wetu.

Tanzania siyo kisiwa hivyo tunapaswa kujenga taswira nzuri kimataifa. Simaanishi Sheria zisifuatwe la hasha lakini hizi sheria zinazoleta makosa yanayomnyima mtu Dhamana hata Samia alishazuia kutumika hovyo. Tunakumbuka kesi ya kina Mbowe ambayo walishinda kwa rufaa na kurudishiwa fedha zao, ikumbuke Mbowe alishakaa ndani miezi mi4 kama Sugu na Lema na wengineo.

CNN wanahoji je kudai katiba mpya, kukusanyika, kufanya kusanyiko wa kisiasa ni "Constitutional Rights" (Wao wameziona wapi hizi haki?) means wamesoma katiba yetu.

Kwa jicho la tatu maana yake wao wanaona kama Serikali yetu inatunyima haki zetu za kikatiba. Hii ina maana mbaya sana kwa 6th Regime ya JMTkimataifa hasa kipindi hiki ambacho Mama anataka kuifungua nchi kuongeza wawekezaji na kuleta Maendeleo ya kiuchumi.

Serikali ipambane na wavunja Sheria,iendelee kupambana na ugaidi lakini isiwabambikie kesi hasa kwa makosa yanayonyima dhamana.

Kazi na iendelee!




CNN nawakubali sana. Kwenye ving'amuzi vya Azam na Startimes hakuna!
 
Donald Trump alishasema CNN ni fake news kazi yao ni kufanya propogada kwa maslahi ya main stream media. Ukitaka kujua mengi zaidi kuhusu hii fake news watch Fox News hao ndio kiboko yao. Wamarekani wengi hawaangalii CNN

Siyo Kweli mkuu. Lakini hakuna wa kubeza CNN, Trumpa haipendi sababu ilimkosoa sana. Tazama link:

 
Back
Top Bottom