CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

Wonders shall never cease. Issue ya Jiwe inatakiwa tusaidiwe na wanasaikolojia. Jiwe ameingilia vifaa vya kupima covid19 kwa kesend garbage. This is similar to what was done by Dr. Shika during the auction. Dr. Shika aliwachnganya watu sana na aliitwa mpaka kwenye media house kadhaa kuhojiwa. Watanzania, tusiyachukulie poa magonjwa ya akili.
akili mgando wewe... hivyo vyombo vilivyomuunga mkono magufuli ni vya mama yako? fala kabisa wew
 
Misukule ya Jiwe mnajulikana, akili zenu hazijai hata kwenye kijiko matokeo yake, kila anayemkosoa Jiwe, mnaamini ni CHADEMA, very stupid!!

Uhusiano wangu usio rasmi na CDM hapa JF ni kwamba wote tuna common enemy ambae ni Genge la CCM linalongozwa na Jiwe huku akishabikiwa kila kitu na misukule yake, ambayo mingine wala sio kwamba ni CCM bali kwavile Jiwe ni mtu wa kwao basi na yenyewe inadhani ina wajibu wa kutetea urais wake!!

Anyway, keep quoting my post, housegirl wetu akimaliza kupika, atakuja ku-respond kwa niaba yangu, maana naona unanipotezea muda tu while you're not worth my time!
Kwa maelezo yako mengi yasio na tija unaonekana taahira , nimekupuuza.
 
Vyombo vyote vya habari ulivyotaja vimetumia kichwa cha habari kimoja "verbatim"?
 
Back
Top Bottom