Misukule ya Jiwe mnajulikana, akili zenu hazijai hata kwenye kijiko matokeo yake, kila anayemkosoa Jiwe, mnaamini ni CHADEMA, very stupid!!
Uhusiano wangu usio rasmi na CDM hapa JF ni kwamba wote tuna common enemy ambae ni Genge la CCM linalongozwa na Jiwe huku akishabikiwa kila kitu na misukule yake, ambayo mingine wala sio kwamba ni CCM bali kwavile Jiwe ni mtu wa kwao basi na yenyewe inadhani ina wajibu wa kutetea urais wake!!
Anyway, keep quoting my post, housegirl wetu akimaliza kupika, atakuja ku-respond kwa niaba yangu, maana naona unanipotezea muda tu while you're not worth my time!