Issue sio kusend gabage.Wonders shall never cease. Issue ya Jiwe inatakiwa tusaidiwe na wanasaikolojia. Jiwe ameingilia vifaa vya kupima covid19 kwa kesend garbage. This is similar to what was done by Dr. Shika during the auction. Dr. Shika aliwachnganya watu sana na aliitwa mpaka kwenye media house kadhaa kuhojiwa. Watanzania, tusiyachukulie poa magonjwa ya akili.
Ila ni Gabage zikawa Positive.
Hapo ndipo alipoifanya Dunia nzima kumpigia salute!