CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

Mbona title umeikosea kosea sana? Inaonekana wakati unaandika ulikuwa unatekenywa wewe!
 
Fox News Wana edit Kwanza ili watoke na habari ya kumfurahisha mtukufu wao mbwa mwenye mawigi
 
Tonge ni kubwa limezidi mdomo hivyo halimezeki

DUMU KUBWA
 
Vyombo vyote hivyo vya habari vina heading moja
Nyie ndio wake mliosema Trump amemsifia magufuli
 
Pumbafu unafikiri wote majinga kama wew.Unatiria shaka jambo ambalo ni global unajua shida ni kwamba serikali ya jiwe umezoea ulaghai na kufake takwimu.Yaan mtu unaonesha uongo kwenye ugonjwa wa dunia.The same instrument zinatumika world wide eti mtu anaibuka kujiffanya mjuaji ni fake .Watu wenye akili wanajua anakwepa lawama ndo maana amekuja na hoja ya ajabu.
 
Kwahiyo mmemwambia bwana mkubwa kuwa amesifiwa? Hizo media zingine sijasoma chochote lakini jana nilisoma habari waliyoiandika CNN sijaona neno lolote linalofanana na sifa, labda CNN ya nanjilinjili.
 
The Animal Farm
 
Upumbavu, ujinga na ugoigoi ni sifa kuu ya wengi ndani ya CCM, ni wachache sana kati yao ndio wenye uelewa na upeo wenye fikra pevu.
 
Huyo mleta uzi ndio lumumba inamtegemea kwa uandishi. Ndio maana uongo hauishi huko.
 
Kumbe Korona hamna, ni Fake News
Kama Papai na Mbuzi vimeonekana vina Korona huenda takwimu za Kassim Majaliwa na Ummy Mwalimu zina mkono wa Mabeberu
Korona hakuna, tusitishane!
 
Huo ndio ukweli ambao ueleweka nawachache
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…