CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits

Pumbafu unafikiri wote majinga kama wew.Unatiria shaka jambo ambalo ni global unajua shida ni kwamba serikali ya jiwe umezoea ulaghai na kufake takwimu.Yaan mtu unaonesha uongo kwenye ugonjwa wa dunia.The same instrument zinatumika world wide eti mtu anaibuka kujiffanya mjuaji ni fake .Watu wenye akili wanajua anakwepa lawama ndo maana amekuja na hoja ya ajabu.
Hujielewi. Unajua equipments ngapi zimerudishwa China ziko FAULTY? Let be legitimate si kutukana tuu all the time. UK government waliacha kutumia Chinese testing kits, US nao walirudisha so Magufuli might be right.
 
A certified illiterate.
Haoo chini wameonyesha mtazamo wao kuhusu critisism and secretive iliyo nayo tanzania,eti rais wao amewaambia waiombee corona iondoke,na wao wamashangilia!! Its more than illiterate,more than ignorance,sheer stupidity we can call.
 
Naona vichwa maji wanapingana na ukweki
 
Hata vichaa mitaani wanajua ni nani aliagiza Lissu apigwe risasi.
Ni kweli kabisa maana muuaji alikabidhiwa nguo zilizotapakaa damu za mh lis. Na ili kuficha ushahidi mbow alimkimbiza dereva.
 
Nilizani labda kuna nchi aliyopeleka wali au ugali kwa siri kupima angalau tungeshare hii aibu ya kupima corona vingwichiro!!
 
Mbona sijaona sifa zozote hapo zaidi ya kureport kile kilichotokea?Kwahiyo vyombo hivyo kuandika alichosema JPM nayo imekuwa ni sifa au mimi ndio sielewi?Yaani media kureport habari za Tanzania nao ni ujiko wa kuja kusifia hapa?Aisee!
 
Hujielewi. Unajua equipments ngapi zimerudishwa China ziko FAULTY? Let be legitimate si kutukana tuu all the time. UK government waliacha kutumia Chinese testing kits, US nao walirudisha so Magufuli might be right.
Kama issue ni instrument kwann adeal na watu wapimaji.Kama alikua na nia njema angetuma the same samples kwa nchi jirani ili kujua usahihi wa covid test kit kwa kuangalia km kuna validity and reliability of results.Alichofanya mh rais ni spinning ili kukwema lawama kwa kuzembea kutochukua hatua ipasavyo hvy ameamua kutafuta sehem ya kujificha.Huu usanii wa kisiasa hauwez kusaidia kutatua janga hili.Hotuba haikua na maana yoyote zaidi ya confusions kwa watu kwamba wasiamini matokeo yanayotolewa na vyombo vyake vya serikali huku akitafuta sifa binafsi kwa sababu hata kama ni kweli angeshughurikia kimyakimya kwa sabab ni uzembe wa serikali yake.Tatizo la mh ni kujiona ana uwezo wa kulaghai na kutoa kafara wengine wakati mwingine kwa makosa yake ,akubali kujisahahisha badala ya kuonea watu ili yey aonekana mwema.
 
Daa!,,Kweli kilugha cha wenzetu kina misimamo
Yaan kichwa cha habari kwenye magazeti yote kinafanana
No technicians kuandika headlines tofauti...
 
Siku zinakwenda mwisho wa siku wote waliojifungia wataanza kufanya kazi kama Tanzania. Hizi cheap politics hazitawasaidia wapinzani kubadili mawazo ya Watanzania.
 
CNN, Sky news, Aljezeera, BBC, New York Times, Daily Mail, CBS, DW, Finacial Times vyaunga mkono hotuba ya Magufuli kuhusu Test kits
Sasa ndugu yangu Nigrastratatract, mbona unajidhalilisha kiasi hiki? Si heri ungemtafuta mtu akakutafsiria hivyo vyombo ulivovitaja vinatoa maudhui gani? Najua kimombo kinavyotuhangaisha Watanzania kwa hiyo sikushangai...umeonesha na wewe umo, hongera sana.

Magufuli, "am communicating with Madagascar, and they have already written a letter saying they have discovered some medicine. We will despatch a flight to bring the medicine so that Tanzanians can also benefit. So as the government we are working day and night."
 
Back
Top Bottom