residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
Hivi mamako alishatibiwa lile kovu lake la ulemavu wa kuke...wa!?Ye
Yeah! Kama cha babaako!
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi mamako alishatibiwa lile kovu lake la ulemavu wa kuke...wa!?Ye
Yeah! Kama cha babaako!
Msimamo usioyumbishwa! Hiyo ndiyo picha aliyoitengeneza Rais Dkt. John Pombe Magufuli kwenye vyombo vya habari vya kimataifa, baada ya kueleza waziwazi mashaka yake juu ya mashine zinazotumika kupima sampuli za wagonjwa wa Corona.
Akizungumza kutokea Chato, mkoani Geita wakati wa hafla fupi ya kumwapisha Waziri wa katiba na Sheria, Mwigulu Nchemba, Rais Magufuli alieleza wasiwasi wake juu ya mashine hizo huku akitolea mfano jinsi sampuli kutoka kwenye papai, mbuzi na ndege aina ya kware zilivyotoa majibu kuonesha kwamba wahusika wana maambukizi ya Corona.
Kauli yake hiyo, imeripotiwa na vyombo vikubwa vya habari duniani, kuanzia televisheni za BBC, DW, CBS, VOA, AL Jazeera, Sky News, CNN na kadhalika, huku magazeti ya New York Times, Financial Times, Daily Mail, The Guardian, Times of India yakiipa uzito habari kuhusu alichokizungumza.
Shirika la Habari la Reuters, nalo pia limeiripoti habari hiyo kwa ukubwa katika vyombo vyake mbalimbali, na kuzidi kuifanya hotuba ya Magufuli kuwa mjadala unaoumiza vichwa vya wanasayansi duniani kote kuhusu ubora na ufanisi wa vifaa vinavyotumika kupima Corona duniani kote.
Vyombo hivyo vya kimataifa, ambavyo mara kwa mara hushutumiwa kuandika habari mbaya pekee kutoka barani Afrika, safari hii vimejikuta vikiizungumzia habari ya hotuba ya Rais Magufuli kwa uzuri kwa sababu alichokibaini kuhusu ufanisi wa mashine hizo, kinahitaji mjadala mpana wa kitaalamu.
Katika hafla ya kumwapisha Mwigulu, Rais Magufuli alieleza jinsi sampuli kadhaa zilivyopelekwa kwenye Maabara Kuu ya Taifa, bila ya wataalamu wa maabara hiyo kujua kuwa si za binadamu, kisha majibu yakatoka kwamba sampuli hizo zilizokuwa zimepewa majina ya binadamu, zilikuwa na Corona wakati kiuhalisia zilikuwa ni sampuli za papai, ndege kwale pamoja na mbuzi.
“…Papai lile lipo halijafa linaiva tu. Mbuzi yule yupo tu hajafa, fenesi lile lipo tu labda lije kuoza… kwa hiyo natoa wito kwa Watanzania msiwe na hofu…mbona mafua yamekuwepo lakini haya ni makali, nayo yatapita…,” alisema Rais Magufuli katika hotuba yake aliyoitoa katika hafla hiyo.
Vyombo hivyo vimeendelea kumnukuu Rais Magufuli akisema: “…Lazima ugundue kuna mambo ya ajabu yanafanyika nchi hii. Ama wahusika wa maabara wamenunuliwa na mabeberu, ama hawana utaalamu jambo ambalo si kweli kwa kuwa maabara hii imetumika sana katika magonjwa mengine. Ama zile sampuli zinazoletwa maana vifaa vyote vinatoka nje, hivyo lazima kuna kitu fulani kinafanywa.”
Rais Magufuli, ambaye hadi sasa anatajwa kuwa rais kutoka nchi za Kiafrika anayeheshimika duniani kote kutokana na kuwa na misimamo isiyoyumbishwa, alisema kutokana na taarifa hizo anaamini kuna watu ambao walipewa majibu yasiyo sahihi kwamba wameambukizwa Corona wakati si kweli na kuongeza pengine kuna waliopoteza maisha kwa sababu ya hofu.
Rais Magufuli pia alivishutumu vyombo vya habari vya kimataifa kwa namna vinavyoripoti kuhusu janga hilo nchini Tanzania licha ya kuwa vyombo hivyo vipo katika maeneo ambayo yameathirika na ugonjwa huo kuliko hata Tanzania
Jamaa kaona Corona is out of control, mambo shaghalabagala kaamua kutupa zigo kwa wengine, kama ilivyokuwa issue ya Korosho ndivyo hii itakavyokuwa.Hujielewi. Unajua equipments ngapi zimerudishwa China ziko FAULTY? Let be legitimate si kutukana tuu all the time. UK government waliacha kutumia Chinese testing kits, US nao walirudisha so Magufuli might be right.
Mtaji mkubwa wa chadema ni jeshi kubwa la wapumbavuMtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake!
Mtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake!
Naona imepenya kwenye tobo... pole sana!! Hilo la CHADEMA, nawaachia wenyewe!!
Mwingine huyu imempenya toboni....Jeshi kubwa la mbowe ni viwavi walionyuma yake huku wakijificha nyuma ya mgongo wa mabadiliko,hakika hawataweza chini ya jemedali mkuu mheshimiwa jpm na serikali yake
Hakika viwavi wenye uchu na raslimali zetu kama taifa wamekwama na watapata tabu sana,
Mungu ibariki Tanzania bariki viongozi wa serikali yetu dhidi ya viwavi wa raslimali za nchi yetu
Sent using Jamii Forums mobile app
......🙄🙄🙄....Jehova okoa mtoa post na ujinga
Wewe uko upande gani mkuuMtaji Mkubwa wa Magufuli ni Jeshi Kubwa la Wajinga lililopo nyuma yake!
Ameona sisi hatujui lugha ya malkia eti anaweka mawazo yake kana kwamba ndo tafsiri ya kilichosemwa/andikwa. Kaniudhi sanaHaoo chini wameonyesha mtazamo wao kuhusu critisism and secretive iliyo nayo tanzania,eti rais wao amewaambia waiombee corona iondoke,na wao wamashangilia!! Its more than illiterate,more than ignorance,sheer stupidity we can call.