Kituo cha kwanza cha habari na cha kimataifa chenye makao makuu Atlanta, Marekani CCN Jana kilitua Dar es Salaam kuja kufanaya interview na Mr Icon, Hifadhi ya taifa ya Tanzania DIAMOND PLATINUMZ na hii leo interview imefanyika salama na soon interview itaonekana CCN
Kituo cha kwanza cha habari na cha kimataifa chenye makao makuu Atlanta, Marekani CNN Jana kilitua Dar es Salaam kuja kufanaya interview na Mr Icon, Hifadhi ya taifa ya Tanzania DIAMOND PLATINUMZ na hii leo interview imefanyika salama na soon interview itaonekana CNN
Kituo cha kwanza cha habari na cha kimataifa chenye makao makuu Atlanta, Marekani CNN Jana kilitua Dar es Salaam kuja kufanaya interview na Mr Icon, Hifadhi ya taifa ya Tanzania DIAMOND PLATINUMZ na hii leo interview imefanyika salama na soon interview itaonekana CNN
da tz Wasafi-wcb.no one lyk dmond+@lm@s!.
Hiyo itakuwa ni program ya African Voices tu hiyo ambapo hukutana na aidha wasanii mbalimbali au wajasiliamali.Walifanyatembelea sehemu nyingi Africa kama vile South Africa, Ghana, Nigeria, Rwanda, Uganda, Kenya, nk.Tanzania ndo walikuwa hawajatia timu bado.Kituo cha kwanza cha habari na cha kimataifa chenye makao makuu Atlanta, Marekani CNN Jana kilitua Dar es Salaam kuja kufanaya interview na Mr Icon, Hifadhi ya taifa ya Tanzania DIAMOND PLATINUMZ na hii leo interview imefanyika salama na soon interview itaonekana CNN
Wazee wa umeshashuka kimziki viiiiipi mbona kama siwaoni hiviiiiiii hahahgahahaahahahhahah
Maana hii chadema inayopandisha wanamuziki level tofauti na CCM nadhani CNN wangekuwa wameshakuja kufanya interview na Msaga sumu, Roma, ney wa mitego, niki mbishi hahahaha lakini hata Mambo mseto ya kenya kusikika hakunaaaaa labda ney wa mitego kidoooooogo akitangaza wimbo mpya, huko MTV BASE bado tunawaona walewale wa CCm diamond platnumz, Nana imetimiza views milioni tano jana SASA NAJIULIZA ANASHUKA VIPI?? AU KUSHUKA WIMBO WA DULLY SYKES
TEAM DIAMOND PLATNUMZ FOR LIFE
NIMEFURAHI SANA LEO KIDOGO NISIDAI CHANGE YANI TOKEA NAPANDA BASI MPAKA NASHUKA NI NYIMBO ZA DIAMOND TU!!!!
Hiyo itakuwa ni program ya African Voices tu hiyo ambapo hukutana na aidha wasanii mbalimbali au wajasiliamali.Walifanyatembelea sehemu nyingi Africa kama vile South Africa, Ghana, Nigeria, Rwanda, Uganda, Kenya, nk.Tanzania ndo walikuwa hawajatia timu bado.