Wazee wa umeshashuka kimziki viiiiipi mbona kama siwaoni hiviiiiiii hahahgahahaahahahhahah
Maana hii chadema inayopandisha wanamuziki level tofauti na CCM nadhani CNN wangekuwa wameshakuja kufanya interview na Msaga sumu, Roma, ney wa mitego, niki mbishi hahahaha lakini hata Mambo mseto ya kenya kusikika hakunaaaaa labda ney wa mitego kidoooooogo akitangaza wimbo mpya, huko MTV BASE bado tunawaona walewale wa CCm diamond platnumz, Nana imetimiza views milioni tano jana SASA NAJIULIZA ANASHUKA VIPI?? AU KUSHUKA WIMBO WA DULLY SYKES
TEAM DIAMOND PLATNUMZ FOR LIFE
NIMEFURAHI SANA LEO KIDOGO NISIDAI CHANGE YANI TOKEA NAPANDA BASI MPAKA NASHUKA NI NYIMBO ZA DIAMOND TU!!!!