Coach Ramovic haustahili pongezi zozote kwenye ushindi wa Leo Yanga vs Kagera sugar

Coach Ramovic haustahili pongezi zozote kwenye ushindi wa Leo Yanga vs Kagera sugar

Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
Nami kaniboa vile vile, nje kuna viungo washambuliaji kibao unaanza na mwenda. Maamuzi yake siyaelewi. Mechi ya mc algers alifanya haya haya, mwisho mechi ikawa ngumu.
 
Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
Tuko pamoja kaka.. Huyu me hapana kwa kweli
 
Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
Pale hakuna kocha, mbabaishaji tu.
 
Siamini kama ni Mwana Yanga
Timu ya Gamond ilikuwa vivu. Kupindukia! Huyu kaleta uhai mwingi kwenye timu mpaka mabwabwa mnajitia ujuaji!

Subirini kipigo chenu shwain nyie!
 
Ina maana mkuu wewe hukuona kabisa ile gusa achia twe de kwao?
 
Ukweli mchungu. Mfumo alionza nao kocha ni mbovu nadhan kocha kocha anashida kwenye matumizi ya mifumo.

Mara nyingi mifumo yake aiendani na mpinzani anaekabiliana nae ndomana hata game ya mwisho klabu bingwa alipoteza kwa sare ya hovyo kutokana na mbinu zake

NB: Bado ana kazi ya kutushawishi mashabiki wa yanga sababu watangulizi wake walitumia muda mchache kutuonyesha walichonacho
 
Lakini si ni nyie hawa hawa ndio mlikuwa mnamlaumu Gamondi kwamba hafanyi rotation ya wachezaji? Jamani muwe watulivu kama mnanyolewa!
So sababu Gamondi hakuwa anafanya Sub basi na huyu kocha anaebebwa na ukubwa team anarundika tuu wachezaji uwanjani!? Kagera ukawaendee na mibeki mitano???? Uliiangalia game first half!?
 
Back
Top Bottom