Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabongo Tunaridhikaga?.Hakuna ambacho kitafanyika asitokee wakulaumu.Wewe unanuona hafai wengine wananuona anafaa na yule unayemuona anafaa kwa wengine hafai.kila mahali ni lawama ushabiki na ujuaji.Ndivvyo tulivyo.Ukweli mchungu. Mfumo alionza nao kocha ni mbovu nadhan kocha kocha anashida kwenye matumizi ya mifumo.
Mara nyingi mifumo yake aiendani na mpinzani anaekabiliana nae ndomana hata game ya mwisho klabu bingwa alipoteza kwa sare ya hovyo kutokana na mbinu zake
NB: Bado ana kazi ya kutushawishi mashabiki wa yanga sababu watangulizi wake walitumia muda mchache kutuonyesha walichonacho
Kulishakua na koocha ambaye kiwango chake sio cha kawaida?.maana kila miaka mpira ndo huo huo.Au yanga ilishakua na mafanikio gani makubwa sana ili tuone makocha wa sasa uwezo mdogo?Mimi siongei kiushabiki ila naongea kama niliewahi kucheza mpira japo sio katika ligi kuu ....kiukweli Kocha ana uwezo wa kawaida sana ila tunalaumu bila kujua kuwa bajeti ndiyo inayoamua uwe na wachezaji au kocha na benchi la ufundi la aina gani
Hakika kila mtu na mtazamo wakeWabongo Tunaridhikaga?.Hakuna ambacho kitafanyika asitokee wakulaumu.Wewe unanuona hafai wengine wananuona anafaa na yule unayemuona anafaa kwa wengine hafai.kila mahali ni lawama ushabiki na ujuaji.Ndivvyo tulivyo.
Kiko wapii 😹Wabongo Tunaridhikaga?.Hakuna ambacho kitafanyika asitokee wakulaumu.Wewe unanuona hafai wengine wananuona anafaa na yule unayemuona anafaa kwa wengine hafai.kila mahali ni lawama ushabiki na ujuaji.Ndivvyo tulivyo.
Final we won bro 💪🏾 😁Hakika kila mtu na mtazamo wake
Huyu kocha katokea tu kutokupendwa na mashabiki wa Yanga ila huenda akawa ni kocha mzuri sana na ndio maana Belouizdad wamemchukua. Jana katanguliwa goli 2:0 na Mc Alger ila karudisha zote 2Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.
Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake
Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?
Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.
Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?
Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?
Soma Pia: FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex
Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi
Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba
Yanga bingwa