Coach Ramovic haustahili pongezi zozote kwenye ushindi wa Leo Yanga vs Kagera sugar

Coach Ramovic haustahili pongezi zozote kwenye ushindi wa Leo Yanga vs Kagera sugar

Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
Kwani Mshahara wa Ibenge ni Tsh ngapi?
au yule Moise wa A Kusini
 
Ukweli mchungu. Mfumo alionza nao kocha ni mbovu nadhan kocha kocha anashida kwenye matumizi ya mifumo.

Mara nyingi mifumo yake aiendani na mpinzani anaekabiliana nae ndomana hata game ya mwisho klabu bingwa alipoteza kwa sare ya hovyo kutokana na mbinu zake

NB: Bado ana kazi ya kutushawishi mashabiki wa yanga sababu watangulizi wake walitumia muda mchache kutuonyesha walichonacho
Unajua sana mpira mkuu
Heshima kwako
 
Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,
Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?
Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?
Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
mwenda leo kacheza kama winga na sio beki...Wewe umeangalia mechi au umehadithiwa
 
Nilishamwambia mtu kuwa mechi dhidi ya Simba, Yanga itapoteza
 
Yanga baada ya kuachana na Gamondi, walitakiwa kutafuta kocha mwenye CV kubwa kama ya Ibenge, nk! Ila siyo huyu wa sasa. Pale wananchi tukubali tu hatuna kocha. Mfano mdogo tu, Prince Dube siyo mchezaji wa dakika 90!
 
Huu mpira ambao timu za tz zinacheza kama chekechea nao una mfumo? Mpira hauna radha timu pinzani haitoi changamoto mfumo huonekani
 
Ukweli mchungu. Mfumo alionza nao kocha ni mbovu nadhan kocha kocha anashida kwenye matumizi ya mifumo.

Mara nyingi mifumo yake aiendani na mpinzani anaekabiliana nae ndomana hata game ya mwisho klabu bingwa alipoteza kwa sare ya hovyo kutokana na mbinu zake

NB: Bado ana kazi ya kutushawishi mashabiki wa yanga sababu watangulizi wake walitumia muda mchache kutuonyesha walichonacho
Saannaa, Kama Gamondi ndani ya weeks kadhaa tuu yukaja kuona alichonacho game vs Kaizer
 
Coach Ramovic nitakukupopoa hadi utakapobadilika.

Mimi kama mtaalam wa football na mwanachama wa Yanga bado Ramovic hajanishawishi Kwa mbinu zake

Leo ameanza na mabeki 5 nyuma Bacca, Job, Boka, Kibwana na Israh,

Hii mbinu imenishangaza, kocha aliamua kujilinda sana dhidi ya Kagera sugar?

Hakuna kama Kagera sugar ingekuja kama second team kujilinda? Kagera sugar ilibaki nyuma ya mpira na wewe uwe na walinzi wengi utawafungaje?

Alifanya mechi iwe ngumu first half bila sababu yoyote.

Mudathir ametumika sana unaona kabisa maamzi yake na pasi nyingi zinapotea kwanini asingempumzisha?

Bench una Chama, Pacome, Max, Ikangalombo Bado unaanza na mabeki 6 dhidi ya Kagera sugar?

Soma Pia: FT: Yanga SC 4-0 Kagera sugar | NBC premium League | 1 Feb,2025 | KMC Complex

Eng Hersi Kwa huyu Ramovic ulijichanganya?

Timu inacheza kama haina coach yaani kama timu ya mtaani, hatuoni mbinu za Mwalimu ni vipaji vya wachezaji vinaamua mechi

Eng Hersi ingia sokoni mlete Coach mwenye CV iliyoshiba

Yanga bingwa
Wenye akili wote walishangaa kama wewe. Mpaka Sasa sijui sababu ya kuanzisha beki 5.
 
Una tatizo kichwani kwako nenda kakojoe halafu rudi kwenye luninga

Match played with a win of 4-0 what else do you want as a coach
Mimi siongei kiushabiki ila naongea kama niliewahi kucheza mpira japo sio katika ligi kuu ....kiukweli Kocha ana uwezo wa kawaida sana ila tunalaumu bila kujua kuwa bajeti ndiyo inayoamua uwe na wachezaji au kocha na benchi la ufundi la aina gani
 
Back
Top Bottom