Wampe tuu sisi huku tuna raha zetu. By the way upo mtani? Simba ya motoooYaani refa asitoe red kisa bangala kamsukuma...
Hiyo ni sheria namba ngapi?
Kamati ya masaa 72 inaweza kumla kichwa jamaa.
Mashabiki wa Simba huwa mnanigurahisha sana. Mkifungwa mechi moja, mnapagawa; maanza kulalamika kuwa timu mbovu, kocha mbovu mnataka kocha afukuzwe, mara babra aondoke mara wachezaji hawajitumi. Mkishinda mechi moja tu, simba timu bora sana, mnasahau malalamiko yeni yote.Wampe tuu sisi huku tuna raha zetu. By the way upo mtani? Simba ya motooo
Sijawahi lalamika hebu rudia replies zangu zotee. Mm kazi yangu ni kuwapondea Yanga muwe mmecheza vzr au vibaya,muwe mmefunga au hamjafungaMashabiki wa Simba huwa mnanigurahisha sana. Mkifungwa mechi moja, mnapagawa; maanza kulalamika kuwa timu mbovu, kocha mbovu mnataka kocha afukuzwe, mara babra aondoke mara wachezaji hawajitumi. Mkishinda mechi moja tu, simba timu bora sana, mnasahau malalamiko yeni yote.
Ngoja siku zaja mtakapopoteana tena. Baada ya kutoa sare mikioani huko.
Kwa mpira mnaocheza mikoani hamtoboi.
Tembea Kifua mbele ya JPM ina r sio l ni kifua mbereYanga haiwezi kukupa hasara mkuu, tembea kifua mbele in JPM's voice
Kwa lugha iliyokuja na mashua ninyi tunawaita ma'hater. 😂😂Sijawahi lalamika hebu rudia replies zangu zotee. Mm kazi yangu ni kuwapondea Yanga muwe mmecheza vzr au vibaya,muwe mmefunga au hamjafunga
Mimi sinaga presha yani presha yangu inakaa normal niki wakandia. Kwamba trh 23 mtatufunga tena? SawaaaaaaaKwa lugha iliyokuja na mashua ninyi tunawaita ma'hater. 😂😂
Andaa vidonge vya kushusha presha maana 23 september siyo mbali.
Àsante Kwa kunikumbusha mkuu🤣Tembea Kifua mbele ya JPM ina r sio l ni kifua mbere