Mpalakugenda
JF-Expert Member
- Jun 2, 2015
- 4,611
- 5,009
Sio kwamba ulisema goli la kwanza tumeotea 😂Hahahah mi sikimbii si nimewaambia mkija na mfumo.mzuri mtawapigq viwili?
Naku love zaidi sweetie, karibu u enjoy pira letu la leoSanaaaa ndo maana naku love
Yanga mbona wanacheza kichovu sana
Shida nini aisee
Nyie mna Nabii TitoKwamba Yanga hatuna Mungu, au siyo ankali?
EwaaaaMayeleeeee
HongeraaYanga ikishinda naingiza 188,000 faida
Ikifungwa napata hasara ya 410,000