Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Urefa wa Tanzania una sheria?Sheria gani hiyo inasema refa abalance kadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Urefa wa Tanzania una sheria?Sheria gani hiyo inasema refa abalance kadi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Simba mlishonwa bao 2, hawa wadogo zenu tunawashona bao 3.Sitakana,nimewaambia yanga waje na mkakati mpya ili waondoke na bao zao mbili
Sasa hiyo kubalance kadi inatokea wapi?Urefa wa Tanzania una sheria?
Naomba sababu ya Msingi ya Mtenje kutopewa redcard.Kwanza kubalance Kadi kwa maslahi ya nani? Hili lazima liwe jambo la kushangaza yaani.
Bao mbili kwa moja nyavu zenu zilitikiswa kumbuka tena mapemaaa. So haijalishi hilo moja. Mm nawatakia mshinde maana ni aibu kuchukua kombe msimu mmoja na hili naona linaenda kutokeaSimba mlishonwa bao 2, hawa wadogo zenu tunawashona bao 3.
Acha kabisa nianze kukuita na uitike, Dog eeeeh?Yanga akishinda mniite mbwa nimekaa pale [emoji117][emoji117][emoji117][emoji117]
Basi sawa mpendwa hahahaaBaby naweza kukosa vyote lkn sio bando hilo unalijua😂😂😂
Kuwa huru huu ni mchezo la azizi wangu
Aliona Jua siku alupowafungia Makolo dhidi ya Coast last season pale TangaLeo kichaa Morisson kaona mwezi
Underdog mnavitukoYanga ya msimu huu kwa magoli hay ya kuchovya chovya itajipanga sana kwa simba ambao haishuki chini ya goli 3.
Mlete mzunguu mlete mzunguuBao mbili kwa moja nyavu zenu zilitikiswa kumbuka tena mapemaaa. So haijalishi hilo moja. Mm nawatakia mshinde maana ni aibu kuchukua kombe msimu mmoja na hili naona linaenda kutokea
Leo anaanza. Mungu si Mchambuzi atatoka na brace au hat trick.Mlete mzunguu mlete mzunguu
Mleteeee mletee. Mleteee mzungu wa ngurukaaa mzungu koko wa timu yenuu mleteeeMlete mzunguu mlete mzunguu
Si wajua mimo sio dikteta?😁Basi sawa mpendwa hahahaa
Sanaaaa ndo maana naku loveSi wajua mimo sio dikteta?😁
Leo mtakimbia tena hapaMleteeee mletee. Mleteee mzungu wa ngurukaaa mzungu koko wa timu yenuu mleteee
Hahahah mi sikimbii si nimewaambia mkija na mfumo.mzuri mtawapigq viwili?Leo mtakimbia tena hapa