Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
- #21
Mimi ni mdau wa soka lazima niguse kote sababu coastal ni team kama ilivyo zingine..Umeandika shudu za hatari! Halafu mbona mnakua na makasiriko bila sababu? Wewe inshu za coastal union zinakuhusu nini? Mbona mnajitia stress zisizo za lazima? Wakimuacha Mbisa wewe kinakuuma nini?
Hakuna sehemu niliposema nimeumia bali naona wewe ndio umeumia sana kusema ukweli huu.