Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thamani ya mchezaji hujui hata inatokana na nini hasa..!Hakika Uto ni uto , unajiandikia pumba tu. Eti hela ndefu kwani kika mchezaji anathamani sawa? Mbaya zaidi hiyo unayoita hela ndefu sio hela ndefu ni utopolo tu uliokujaa ndio unakutuma uandike hivyo.
Nani alisema Ame ni star? acha story za vijiweni kila mchezaji na thamani yakeHaya kwahiyo ame ambaye alisememwa kuwa ni star yuko wapi sasa?
Kiufupi hujui lolote kuhusu mambo ya kuuziana wachezaji ...hujui lolote kabisa
Umeshawahi kusikia sakata la nabir fekir?
Hapa hakuna cha yanga mimi sio yangaNasemaje?? Mwaka huu Yanga mtanena kwa lugha. Na hapo ligi haijaanza!! Tutahakikisha mnaropoka yoooote yaliyoko mioyoni mwenu.
Shubamit!!!
cocastic
Labda kama wewe ndio ulikuwa hujui au hukuwa nasimu wakati huo .Nani alisema Ame ni star? acha story za vijiweni kila mchezaji na thamani yake
Haijalishi kwa haya yanayotokea bado wana chembechembe za urafiki..Mtoto mdogo. Udugu wa coast na Simba ulisha kufa toka enzi za Pontyo wa Pilato
Umeshindwa kuitaja hiyo pesa ndefu na kuthibitisha jinsi ulivyo utopolo.Thamani ya mchezaji hujui hata inatokana na nini hasa..!
Wewe bambukicha tangu uanze kuongea hujawahi kuongea la maana kabisa.
Kama ilivyo kwa Biashara ya Ally Hapi? [emoji3][emoji3]Hiyo timu msimu huu inashuka daraja,labda Karia awape mbeleko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan Sakho kavuruga kila kitu. Wanateseka balaa.Umeandika shudu za hatari! Halafu mbona mnakua na makasiriko bila sababu? Wewe inshu za coastal union zinakuhusu nini? Mbona mnajitia stress zisizo za lazima? Wakimuacha Mbisa wewe kinakuuma nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] haya yote kasababishaa Mdogo ake Mane. Coastal union inawahusu nn hawa utopoloo??Nasemaje?? Mwaka huu Yanga mtanena kwa lugha. Na hapo ligi haijaanza!! Tutahakikisha mnaropoka yoooote yaliyoko mioyoni mwenu.
Shubamit!!!
cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilikuambia tangu jana, utaficha wee maumivu ila yakifika sehemu yake, wee mwenyewe utapiga kelele.Hapa hakuna cha yanga mimi sio yanga
Hata msimu uliopita ilikuwa hivi hivi matokeo yake wenzenu wamechukua makombe yote matatu..
Na simba wakaambulia
Mpole cup
Sopu cup
Sakho cup.
Kwanini wasishuke kabisa mkuu?Sijajipa presha bali nimesema ukweli uliopo na hao coastal msimu huu watakaribia kushuka daraja.
Mimi kuchangia na huu ukweli uliosemwa vinahusiana nini?
Haya mambo ya mtu asiambiwe ukweli sababu fulani ni fulani ni ya kishamba..
Wanatakiwa wabadilike.
Kwanini wasishuke kabisa mkuu?