Huyo ni shabiki maandazi. Ame amejulikana zaidi baada ya kununuliwa na simba. Kipindi Mwamnyeto anasajiliwa na yanga alihusishwa pia kusajiliwa na simba na habari zake za kusajiliwa na klabu hizi mbili ziliandikwa sana, kinyume na Ame ambae ilitokea tu amesajiliwa na simba na haikuwahi kuwa habari kubwa kuhusu usajili wake. Uto sijui anabisha nini ila uto kweli ni uto.