Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
hii inahitaji akili ndogo sana kujua mkuu, labda kama unataka kuanzisha tu ligi!!!
Hujajibu swali langu!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hii inahitaji akili ndogo sana kujua mkuu, labda kama unataka kuanzisha tu ligi!!!
Hata kama akina Wolper wengine walipelekewa - yeye ni mmoja wa hao walengwa.
Kwa hiyo?
Hivi Wolper ni changudoa ee..!Huyo changudoa hakuna analojua.
Hivi Wolper ni changudoa ee..!
Ni kujishaua tu, mbona mimi silalamiki. Hao washamba tu
![]()
Licha ya kuamini kuwa inawezekana jina lo ni photoshop lakini ulitakiwa kupata chochote.kama hujui ungana na wolper kudai
Cool down sio vita,'karandinga'!We nawe umedandia karandinga kwa mbele.
Mi sikuwa namzungumzia Wolper hapo!
Sasa habari za Wolper wewe umezitoa wapi?
Muwage mnasoma kwanza kabla hamjarukia vitu kwa mbele.
Cool down sio vita,'karandinga'!
We nawe umedandia karandinga kwa mbele.
Mi sikuwa namzungumzia Wolper hapo!
Sasa habari za Wolper wewe umezitoa wapi?
Muwage mnasoma kwanza kabla hamjarukia vitu kwa mbele.
Jifunze kusoma na kuelewa kwanza kabla hujanukuu watu na kuandika vitu visivyo relevant.
Hivi kuna mtu humu anayejua Coca-Cola wamesemaje kuhusu hizi tuhuma?
hivi huko marekani hauna watu wa kuwafuatilia? we kila siku unahangaika tu na habari za bongo, si urudi tu mbona unateseka hivyo
We ni mjinga kabisa,
Ha!ha!ha!Yeye alilitoa wapi??? Hawa ndo nawafananisha na jirani yangu mmoja nilitaka kuvuta umeme kutoka kwenye nguzo akanambia nimlipe nusu ya bei nikataka kumpa robo tatu akakataa tanesko walivyokuja wakamwambia na yeye amlipe yule alipochukulia ndo akaingia upepo mwisho nikala umeme billa kumpa mia....
Huwa sielewi...nimekunuu wewe sio kundi la watu.