Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Ni mgogoro mkubwa ila hauzidi wako.Sina shaka kabisa juu ya hilo maana hata kuandika tu nako ni mgogoro:biggrin1::biggrin1:!
Bye Felicia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mgogoro mkubwa ila hauzidi wako.Sina shaka kabisa juu ya hilo maana hata kuandika tu nako ni mgogoro:biggrin1::biggrin1:!
Bye Felicia.
Ni mgogoro mkubwa ila hauzidi wako.
Mimi nina mgogoro gani?
Unapenda sana kujipendekeza kwangu sijui kwa nini tu!
Mara uninukuu humu halafu unaanza kuandika vitu ambavyo hata havieleweki, mara unaniandikia PM unaomba msamaha ambao hata siuelewi ni wa nini.....
Utakuwa una wazimu wewe.
Fanya hivi...achana na mimi. Acha kujipendekeza kwangu.
Sijali chochote kuhusu wewe. Kwanza sikujui nawe hunijui.
Na hii ndo mara yangu ya mwisho kukujibu takataka kama wewe na unawekwa ignore list.
Mimi takataka ila wewe ni sawa na kingnyesi,kubwa zima tabia za kitoto,mbishi kama una tezi dume,like I care ukiniweka kwenye ignore list!!Unapenda kuwarukia wenzio ukishikwa tako tu unalia kama ume...,nijikombe kwako nakujua!!hunijui wala hutokaa unijue nyani wewe!!Mimi nina mgogoro gani?
Unapenda sana kujipendekeza kwangu sijui kwa nini tu!
Mara uninukuu humu halafu unaanza kuandika vitu ambavyo hata havieleweki, mara unaniandikia PM unaomba msamaha ambao hata siuelewi ni wa nini.....
Utakuwa una wazimu wewe.
Fanya hivi...achana na mimi. Acha kujipendekeza kwangu.
Sijali chochote kuhusu wewe. Kwanza sikujui nawe hunijui.
Na hii ndo mara yangu ya mwisho kukujibu takataka kama wewe na unawekwa ignore list.
Kwa hiyo ukasome tena ulichoandika. Anza mwanzoni kabisa.
Mwaka mpya na mambo mapyaa,kiriuuuuuuuuuuu Kim nana Paula kilaki unanikosha mpaka naumwaaa heiyaa:thumbup:
Hujambo wewe?
Sijambo kabisaa,mwaka mpya huu jamani sameheaneni eti
1) Hilo jina la Wolper ni jina lake kweli?
2) Kama ni jina lake, nchi nzima hakuna mwingine mwenye hilo jina?
3) Ni kweli kabisa kuwa Coca-Cola iliandika tu hayo majina bila hata kuwasiliana na hao wasanii?
4) Coca-Cola wameshatoa le tamkoz lolote kuhusiana na hilo suala?
Hahahaaa wala usijali. Takataka hutupwa shimoni (ignore list).
Je jina hilo amelisajili?
Je ana copyrights ya jina hilo?
Niligundua kina lemutuz nk hawana jeuri ya kuivimbia coca simply kwasababu hawajayasajili majina yao na hawana copyrights ya majina hayo.
yaani nilichogundua hapa JF na bongo kwa ujumla ukifikiria tofauti na wengine au kikundi fulani wewe ni tatizo....
Je jina hilo amelisajili?
Je ana copyrights ya jina hilo?
Niligundua kina lemutuz nk hawana jeuri ya kuivimbia coca simply kwasababu hawajayasajili majina yao na hawana copyrights ya majina hayo.
hivi huko marekani hauna watu wa kuwafuatilia? we kila siku unahangaika tu na habari za bongo, si urudi tu mbona unateseka hivyo
Huyu naye njaa itamuuwa..wolper ni jina lake kwanza.? Jina lake halisi ni hamisa katindasa kaja mjini anajifanya jackline wolper..!!!
Sasa unataka arudi nauli anayo? Huyu asubili akifia huko apigwe kibiriti tu jingaz kabisa huyu.
Huyu naye njaa itamuuwa..wolper ni jina lake kwanza.? Jina lake halisi ni hamisa katindasa kaja mjini anajifanya jackline wolper..!!!