Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Halafu, hawaandiki majina ya hao so called wasanii tu.
Hata wewe ukitaka uwe na le kopoz au le chupaz yenye jina lako watakuandikia tena bure.
Sasa sijui na wewe jina lako ndo litaiuza hiyo soda...?
Hadi majina ya kina mwajuma basi nao wapige kelele kua wamenyonywaa ,,maana wameandikwa ngoja ninywe coca yenye jina langu mieeee