Cocacola kubandika majina ya watu bila ruhusa/malipo, Jacline Wolper aomba wanasheria kuingilia kati

Cocacola kubandika majina ya watu bila ruhusa/malipo, Jacline Wolper aomba wanasheria kuingilia kati

Huyo wolper kwani yuko peke yake kama Mimi mhemeavisogo??! Asilete uchizi wake hapa, Anatafuta kick tu. Kuna wakina wolper wangapi bongo hii. Njaa mbaya jamani....!!🙂 🙂

Naskia anataka kununua Iphone 6 na hela hana! ndyo maana mnamuona anakomalia hapo ili alipwe fidia
 
hapa mtaani kwetu kuna wolper watatu,nitawaambia wakaishitaki cocacola walipwe maescrow...
 
Kama ni jina lake halali, ana pointi endapo hawakulipwa au kuridhia majina yao kutumika.
Mi ningewachuna balaa.
Wewe barafuyamoto hata popi wangu nilishaanza kumwita kitambo kabla wewe hujajiunga na JF.Na mimi pia jina nililipata kwa mpiga ramli mmoja wa Nachingwea.
Hapo Coke wakilitumia utasema lako wewe tumia akili sio unaropoka kama break za UDA.
 
Nyani Ngabu we unakomaa sana ,ina maana unafikiri walichofanya Cocola ni sawa? kutumia majina si tatizo ila tatizo ni pale unapoyatumia kutengeza fedha wakati wao hawapati kitu .kwa nini unakuwa mgumu kuelewa jambo hili.Inawezekana kisheria wasanii wasishinde au wasipeleke kesi mahakamni lakini iyo haitoi mwanya kuwa coca walikuwa sahii.Vua miwani uliyo nayo ,jitambue,elewa msingi wa hoja. Hoja kwamba jina lake si brand name si hoja kuntu hapa.issue ni kwamba Coca cola wamewatapeli wasanii hawa basi. Pia comment zako Dinazarde peleka jukwaa la love conect maana husaidii mjadala bali upo kwenye ngono tu. ama jukwaaa mama
 
Last edited by a moderator:
10940496_799428433460581_3600669804780498186_n.jpg


CC Nyani Ngabu na kundi lako.mtasema Lowassa ni wengi siyo?...................
 
Last edited by a moderator:
Sasa Naamini tuna wanaharakati, wabunge,wanaSheria pamoja na serikali ambao huwa wanafwatilia wale wauza CD wa kariakoo basi Naomba Juhudi hizi mzihamishie huku katika kampuni hii kubwa ya Kimataifa coca cola ili kutetea haki za Wasanii na sio kudhalilishwa kwa kiasi hiki jamani

Yale yale ya kutaka kufanyiwa kila kitu.

Mtu mzima kakalia masaburi yake badala ya kuchukua hatua anategemea wengine wamfanyie.

Kwani wakati anapewe hiyo zawadi aliwakumbuka?

Watu wananyonywa kwa upumbavu halafu wana expect a man a of the people kuja kuwasadia.

Hili ni suala binafsi kati yake na Coca Cola akasort mwenyewe huko.
 
Nyani Ngabu we unakomaa sana ,ina maana unafikiri walichofanya Cocola ni sawa? kutumia majina si tatizo ila tatizo ni pale unapoyatumia kutengeza fedha wakati wao hawapati kitu .kwa nini unakuwa mgumu kuelewa jambo hili.Inawezekana kisheria wasanii wasishinde au wasipeleke kesi mahakamni lakini iyo haitoi mwanya kuwa coca walikuwa sahii.Vua miwani uliyo nayo ,jitambue,elewa msingi wa hoja. Hoja kwamba jina lake si brand name si hoja kuntu hapa.issue ni kwamba Coca cola wamewatapeli wasanii hawa basi. Pia comment zako Dinazarde peleka jukwaa la love conect maana husaidii mjadala bali upo kwenye ngono tu. ama jukwaaa mama

Kwa hiyo ww unanipangia cha kuandika,we unavyoandika humu unawasaidiajee hao sie uende huko mahakamani uwasaidie unadhan kujaza humu maneno yako ndio utawasaidia,,,,naandika nitakacho sijakushikia panga au gun usome post zangu, naandika jukwaa lolote nitakalo fata yako yangu niachie,ukiyafata sana ujue unavutiwa na post niandikazo

Mahaba niteketeze niungue nibaki majivu
Hutaki, hupendii kufwaaaaa for me
 
Last edited by a moderator:
Kwa hiyo ww unanipangia cha kuandika,we unavyoandika humu unawasaidiajee hao sie uende huko mahakamani uwasaidie unadhan kujaza humu maneno yako ndio utawasaidia,,,,naandika nitakacho sijakushikia panga au gun usome post zangu, naandika jukwaa lolote nitakalo fata yako yangu niachie,ukiyafata sana ujue unavutiwa na post niandikazo

Mahaba niteketeze niungue nibaki majivu
Hutaki, hupendii kufwaaaaa for me

Ndiyo maana kuna majukwaa tofauti. siasa,sheria na mambo ya sex. sasa we unapost mambo ya sex kwenye jukwaa la sheria. nenda huko mjadili papuchi,oral sex na masaburi huku palipo na mijadala ya kuhitaji akili waachie wenye uwezo nayo. we nenda huko kajadili matiti na mbunye zako mama.
 
uwiiiiiih!bac wote tulioandikwa tulipwe jamani coz tumeandikwa wengi watawalipa wangapi?ni sheeeeeeedah!!!!!!
 
Tatzo unaongea tu wala hujiongezi kusoma.soma bandiko kisha rudi

utaratibu waliokuwa wakitumia walikuwa wanafuata msanii,wanamweleza kuwa wametumia jina lake,wanampatia soda ya jina lake na kumpiga picha na kuingiza mtandaoni sasa unakurupuka huko unaandika ujinga. tazama hapa chini. unadhalilika kwa kuandika ugoro hapa
E.png

F.png
G.png

Sasa kwa nni yeye hakuambiwa?
 
lakini kama walimpelekea zawadi ya kopo iliyoandikwa jina lake la kisanii inamaanisha walikua wamemlenga yeye ili awe kama balozi wa promotion yao, mbona hawakuwapelekea zawadi ya kopo kina Wolper wengine!!!

Baada ya kupelekewa kopo lililoandikwa jina lake kwa nini hakuwahoji kutumia jina lake bila idhini yake au malipo?

Badala yake anakuja kutafuta sympathy kwenye social media.

Aende zake huko kuna watu wengine wanahitaji kusaidiwa na wanaharakati lakini siyo hawa wasanii. Wajisaidie wenyewe au walipe ili wasaidiwe.
 
  • Thanks
Reactions: amu
Kakakuonana ndiyo si mmemaliza form six ya umalaya pale ambiance si form six ya shule.form six gan hata kutamka the ni shida....ila kutamka paipu..mnajua nendeni mkasagane huko
 
Back
Top Bottom