Linamo
JF-Expert Member
- Jan 12, 2011
- 9,976
- 24,496
Kabisaaa ukiacha mapungufu yake ambayo kila binadamu anayo ni mtafutaji sana.Daima am with zari kwanza simfikii kwa mafanikio yake nayataman ,sijali tabia zake maana naweza mjudge kumbe mie ndo mbaya zaidi kitabia ila kafika mbali sana na kumpa akili dai
Tatizo la mdogo wetu sepetu hapendi kujituma hatumii umaarufu wake kupata hela.