Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Hahahaa naona unanigeuzia kibao lol...mie charty yule yule sijabadil kitu...


duh.
Ulichoulizwa na ulichojibu ni tofauti.


Eeeeeeeeh
Mti mmoja.
 
Aje anibishie hapa niweke ushahidi wa PM ni ushahidi mwengine ambao ninao wa kutosha.

Acha kujijibu na kukazania lisilo
Utaandika na kutishia mengi ila unajua hauna kitu.. unavyopenda kuniandama.. niliona msg kule asubuhi eti unapita nikajua utakuja kivingine na ukaja eeeeeh

Bora unyamaze kimya.
Soma interview pita acha kutafuta kiki kupitia Cocochanel. Na msikasirike mtu anapokataa kujibu ya PM kama salamu.. eeeh.
 
Cocochanel ni mwanamke niliyezaliwa Mkoa mmoja ingawa Wazazi wangu walikuwa wanaishi Mkoa mwingine.. wakaipenda tu hiyo hospitali.

Elimu ya juu vyuoni.

Nachofanya mimi ni kwenye upande wa teknolojia na management..
mh!!! kumbe mwanateknolojia!!!!!
 


una akili sana wewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…