Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

3.Cocochanel ni kitu gan ama jambo lipi unaweza kulipigania au kulitetea kwa nguvu zote kiasi kwamba upo tayari kufa ukiamini?
Jambo gani ukilianza huwez kata tamaa kirahisi!

Furaha na Amani kwa familia niliyozaliwa nikijumuisha na wanangu kwa juuuuuuuu.

Pia mengine machache kwenye maisha kama nimeapia au nimeingia kwa kuaminia niliyovutiwa nayo juu ya kilichopo itabidi.. kutokana na yalivyo

Ninachokiaminia na kuamini kipo.. hata uniletee nini nitalishikiria.. na pia mtu akiwa mbishi au anaongea nami basi tu juu ya jambo bila kuwa na facts zilizoenda shule au proof ya kweli.. huyo nitakula nae sahani moja..
Nasukumwa pia maishani na machale niliyobarikiwa na Mola na hayaniangushi.

I hope nimekujibu.
 
Furaha na Amani kwa familia niliyozaliwa nikijumuisha na wanangu kwa juuuuuuuu.

Pia mengine machache kwenye maisha kama nimeapia au nimeingia kwa kuaminia niliyovutiwa nayo juu ya kilichopo itabidi.. kutokana na yalivyo

Ninachokiaminia na kuamini kipo.. hata uniletee nini nitalishikiria.. na pia mtu akiwa mbishi au anaongea nami basi tu juu ya jambo bila kuwa na facts huyo nitakula nae sahani moja..
Nasukumwa pia maishani na machale niliyobarikiwa na Mola na hayaniangushi.

I hope nimekujibu.
Vizuri!
4.vipi unakabiliana na hasira kama binadamu!?
Na kwa namna gani unageuza mawazo hasi uliyonayo kuwa chanya?
 
Kwangu maisha ni kwanza kujitahidi kwenye maisha tangu ukiwa unaanza kukua.. yaani ile kujipanga kuanzia masomoni kujua nini unataka kufanya mbeleni

Pia kuishi kwa furaha na amani na kuishi maisha ya kuridhika na ulichonacho na kama unataka mengine zaidi basi ni muhimu kujisukuma kuyafikia hayo na kuwa na plan B au C ikibidi.. ili usiishie kuishia kujiona umekwama na hauna lingine.. kumbe mtu una uwezo wa mengi.

Kuenjoy maisha.. sio kuishi kivingine huku una uwezo wa kujirurahisha wewe na wapendwa wako.. tunaishi mara moja.
Huu mwandiko sio ninaoufahamu mimi.

Ok, ngoja nitege sikio
 
Vizuri!
4.vipi unakabiliana na hasira kama binadamu!?
Na kwa namna gani unageuza mawazo hasi uliyonayo kuwa chanya?

Mimi zangu ni sijibu au sitendi kitu hapo hapo kutafuta chochote kama kumfurahisha mtu.. nitatafuta muda wangu wa kufikiria, kuchunguza inapobidi, yaani kupata nafasi inayobidi kujua iweje.

Pia kwangu ninakuja na kwamba ni msiri sana sana.. hata kitu kitokee siwezi kujiropokea kisa nimesukumwa kukasirika.. nitajiweka hata mtu usifahamu hilo limenijia.. naweza kukuchekea kama utaniona mjinga shauri yako.. so hapa inanipa muda tena kutotoa hata nilijualo hadi nipige pozi.. ukinipiga marungu pia utakuwa unajisumbua kama sitaki kuonyesha nimekasirishwa hadi nitafakari.

Naamini kujibu lolote hapo hapo mtu unaweza kujutia.. nitajibu huku niiangalie mbele pia na sio muda huo tu.

Samahani hasi na chanya maneno hayo naomba unifafanulie.
 
Mimi zangu ni sijibu au sitendi kitu hapo hapo kutafuta chochote kama kumfurahisha mtu.. nitatafuta muda wangu wa kufikiria, kuchunguza inapobidi, yaani kupata nafasi inayobidi kujua iweje.

Pia kwangu ninakuja na kwamba ni msiri sana sana.. hata kitu kitokee siwezi kujiropokea kisa nimesukumwa kukasirika.. nitajiweka hata mtu usifahamu hilo limenijia.. naweza kukuchekea kama utaniona mjinga shauri yako.. so hapa inanipa muda tena kutotoa hata nilijualo hadi nipige pozi.. ukinipiga marungu pia utakuwa unajisumbua kama sitaki kuonyesha nimekasirishwa hadi nitafakari.

Naamini kujibu lolote hapo hapo mtu unaweza kujutia.. nitajibu huku niiangalie mbele pia na sio muda huo tu.

Samahani hasi na chanya maneno hayo naomba unifafanulie.
Muda baadae!
5.sifa zako kuu3 zinazokutofautisha na wengine ni zipi?
Kwa vipi ratiba yako ya siku inakuletea matunda au mafanikio!
 
Muda baadae!
5.sifa zako kuu3 zinazokutofautisha na wengine ni zipi?
Kwa vipi ratiba yako ya siku inakuletea matunda au mafanikio!

Tatu kati ya nilizonazo ni
- Nina nyota ya kupendwa na watu na wengine pia uonionea wivu na ninabahati ya kuwatambua haraka

- Mcheshi sana huwezi kuboreka ukiwa nami labda niamue kuuchuna. Nikiwa mahala lazima niache watu kunikumbuka kwa mazuri na kwa lolote lililojiri.

- Najiamini kwenye mengi na pia nikitaka iwe/kiwe namshukuru Mungu naonaga inakuwa.
 
Back
Top Bottom