Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Majibu ya interview sijaelewa kabisa.
hapa nipo najiuliza mimi ni kichwa maji au majibu yaliyotolewa ndio tatizo au aliyetoa majibu ndio kichwa maji?

Nauliza wadau wote maana bado sijapata jibu hapa.

Eeeeeeeeeeeh
Wivu.com

Mjue humu kuna watu level zisio zenu.. ha ha haaaaaa
Na hauna haja ya kuelewa kwasababu havikuhusu wala haujavipitia
Ha ha ha haaaaaaaaa

Nilijua mtatafuta mapovu a kumwaga na hapo nimebana mengi.. ningemeagika mngelia kama wanyama
 
DJ nilikuwa bussy kufuatilia hii interview ila honestly kabsa mtu wako Leo alikuwa akiulizwa swali anajibu essay yenye content zero
Jitahidi siku nyingne usihoji mtu kama huyu maana amezingu kinoma.

Ha ha ha haaaaaaa
Wewe humu unafikiri sikujui kupinga kila naloandika JF kisa siasa

Maneno yenu hayanibadili ni nabaki nacheka jinsi ninavyowaburuza humu ndani na hamnifikiii
eeeh
My fan
 
Nyie wote nawafahamu kutokea humu
Mnawivuuuuu wa kufwa mtu kwa watu tho mnajitahidi kuuficha na vijistori upupwu...

Ha ha haaaaaaaaaaa
Mnalalamika uongo kama vile mmelazimishwa kusoma niliyoandika

Eeeeeeeh eeeeeeeeh.. Cocochanel ni ligi ingine.. jipigeni vibao vya usoni mlie
Ha ha haaa
Ahsante kwa majibu yako ya usahili, nina swali moja tu.

Tangu ujiunge na Jamboforums na sasa ndio JF umewahi kupewa BAN? Mara ngapi?
 
Wivu.com
Jipige vibao vya usoni ulie
Ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Maswali yangu hujayaona nirudie kukuuliza!!? Hebu nisaidie majibu basi bibie,maswali yapo comment number#193.
 
Good evening ladies and gentlemen!
Bila ya shaka mmekuwa na ijumaa njema sana.

Siku ya leo kwa mujibu Wa ratiba yetu tunaye cocochanel .

Wengi mmekuwa na hamu naye
Na leo ndio siku muafaka kabisa,
Kukidhi kiu yenu!

Cocochanel atakuwa rasmi hapa
Saa kumi na mbili unusu.

Karibuni sana!
cc Transcend
Asprin
Lee empire
Young blood
Niyombire
Billy
Shunie
Numbisa
Sakayo
Emmnitya
Linamo
Carba
Stable woman
Ukhuty
Sergio
Beira
Welcome all!
Huyu mtu ameaibisha sana usimlete tena. Anasema ameenda vyuo? Hata ku construct sentensi hawezi? Anaandika phrase badala ya sentensi halafu mipasho kama ya kopa?? Heri yangu ngumbaru naweza kujieleza.
 
Eeeeeeeeeeeh
Wivu.com

Mjue humu kuna watu level zisio zenu.. ha ha haaaaaa
Na hauna haja ya kuelewa kwasababu havikuhusu wala haujavipitia
Ha ha ha haaaaaaaaa

Nilijua mtatafuta mapovu a kumwaga na hapo nimebana mengi.. ningemeagika mngelia kama wanyama
Unaweza kukisoma ilichokiandika kwa usahihi?
 
Ha ha ha haaaaaaa
Wewe humu unafikiri sikujui kupinga kila naloandika JF kisa siasa

Maneno yenu hayanibadili ni nabaki nacheka jinsi ninavyowaburuza humu ndani na hamnifikiii
eeeh
My fan
Ikiwa unaandika pumba za ivi nikupinge kwa faida gan?
 
Watu bwana, sasa kama umesoma na huelewi si ufungue nyuzi zingine usiumize akili yako? Kweli unapoteza precious time kusoma na kufuatilia kitu usichoelewa, utakuwa na UA(upungufu wa akili)
 
Me naomba majibu mafupi sana. Maswali ni haya:

1-Umewahi kuugua ugonjwa wowote wa akili ktk maisha yako!??

2-Umewahi kufanya jambo gani la kutumia akili liwe la kijamii au kifamilia(litaje jambo lenyewe) na lilifanikiwa!? Km halikufanikiwa kwa nn!??

3-Ukiacha matumizi ya I'd fake,unaweza kuniambia jinsia yako kwa uhakika,wewe ni ME/KE!??

4-Elimu uliyotaja uliyonayo umesema ni ya chuo na umesema ni tecnolojia,ni tecnolojia gani hiyo,ukinijibu ntarudi kukuuliza swali la fani uliyosoma ili kuthibitisha elimu yako. Kwa unavyoonyesha hujakanyaga hata ordinary level. Samahani lkn. Ntarudi...
Akikujibu maswali haya niite mkuu
 
Back
Top Bottom