Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Cocochanel live interview on DJ sepetu show!!

Me naomba majibu mafupi sana. Maswali ni haya:

1-Umewahi kuugua ugonjwa wowote wa akili ktk maisha yako!??

2-Umewahi kufanya jambo gani la kutumia akili liwe la kijamii au kifamilia(litaje jambo lenyewe) na lilifanikiwa!? Km halikufanikiwa kwa nn!??

3-Ukiacha matumizi ya I'd fake,unaweza kuniambia jinsia yako kwa uhakika,wewe ni ME/KE!??

4-Elimu uliyotaja uliyonayo umesema ni ya chuo na umesema ni tecnolojia,ni tecnolojia gani hiyo,ukinijibu ntarudi kukuuliza swali la fani uliyosoma ili kuthibitisha elimu yako. Kwa unavyoonyesha hujakanyaga hata ordinary level. Samahani lkn. Ntarudi...
Akikujibu maswali haya niite mkuu
 
Interview ya Leo ngumu,,,mjibu maswali ana Sifa zaidi kuliko uhalisia,,,maelezo mengi yamejaa kujikweza ,,,mi navojua watu walioishi maisha km aliyoeleza ,,hawanaga mbwembwe,,they are always simple and smart,,

Anyways hongera kwa kujitahidi
 
Good evening ladies and gentlemen!
Bila ya shaka mmekuwa na ijumaa njema sana.

Siku ya leo kwa mujibu Wa ratiba yetu tunaye cocochanel .

Wengi mmekuwa na hamu naye
Na leo ndio siku muafaka kabisa,
Kukidhi kiu yenu!

Cocochanel atakuwa rasmi hapa
Saa kumi na mbili unusu.

Karibuni sana!
cc Transcend
Asprin
Lee empire
Young blood
Niyombire
Billy
Shunie
Numbisa
Sakayo
Emmnitya
Linamo
Carba
Stable woman
Ukhuty
Sergio
Beira
Welcome all!
Hao uliowataja pekee ndio wanapaswa kushiriki katika Interview hiyo?
 
Hapa ndyo umejibu swali?
[emoji15] [emoji15]
Alfu Eti huyu ni mwanamikakati wa CCM poleni sana Lumumba

Ha ha ha haaaa
Najifurahia kwa kuwajua.. maneno mengi mwanzoni ulifikiri sifahamu zako eeeeeeh

Sasa umejionyesha na yako ya siasa
Na nilijua ni hayo... Lumumba nenda wewe kuomba kazi naona unatamani sana
 
Furaha na Amani kwa familia niliyozaliwa nikijumuisha na wanangu kwa juuuuuuuu.

Pia mengine machache kwenye maisha kama nimeapia au nimeingia kwa kuaminia niliyovutiwa nayo juu ya kilichopo itabidi.. kutokana na yalivyo

Ninachokiaminia na kuamini kipo.. hata uniletee nini nitalishikiria.. na pia mtu akiwa mbishi au anaongea nami basi tu juu ya jambo bila kuwa na facts zilizoenda shule au proof ya kweli.. huyo nitakula nae sahani moja..
Nasukumwa pia maishani na machale niliyobarikiwa na Mola na hayaniangushi.

I hope nimekujibu.



Majibu mazuri siku nyingine sumarize
 
Mkuu DJ Sepetu umezingua Sana kumleta huyu Mwili nyumba-shati linafunika vits.. Mimi Hua Ni msomaji zaidi kwenye hii mikabala yako ILA hii imenichefua mno!
Amekosea wapi jamani,hicho ndio kiwango chake cha ufahamu,nadhani ni bora kujenga tabia za kuvumiliana Na kutofautiana pasipo kugombana.
DJ sepetu.
Regards
 
Maswali yangu hujayaona nirudie kukuuliza!!? Hebu nisaidie majibu basi bibie,maswali yapo comment number#193.

Si umeniuliza kama nimewahi kuugua ugonjwa wa akili au?
Sasa subiri kwanza nione hii akili yangu itanipa jibu gani.. kuwa na subira kwa sababu hii akili yangu sasa imezima haitumiki...
 
Tatu kati ya nilizonazo ni
- Nina nyota ya kupendwa na watu na wengine pia uonionea wivu na ninabahati ya kuwatambua haraka

- Mcheshi sana huwezi kuboreka ukiwa nami labda niamue kuuchuna. Nikiwa mahala lazima niache watu kunikumbuka kwa mazuri na kwa lolote lililojiri.

- Najiamini kwenye mengi na pia nikitaka iwe/kiwe namshukuru Mungu naonaga inakuwa.

Duh haya bhana
 
Unaweza kukisoma ilichokiandika kwa usahihi?

Ikiwa unaandika pumba za ivi nikupinge kwa faida gan?

Ha ha haaa
Kama unataka msaada wa kujua kumwaga nondo na kupambana si useme tu.. naona mambo ya jukwaa la siasa yanakutafuna juu yangu.. unakuja kunifata huku.. oooh eeeee burudika nami..

Sasa soma majibu ya maswali aliyoniuliza DJ ndio utatamani kujipiga vibao vya usoni kimya kimya

Eeeeeeeh my mushabiki
Karibu
 
Back
Top Bottom