Code zinaanza kufunguka

Code zinaanza kufunguka

Shilingi inaporomoka haraka kwa currency zote, Ijumaa iliopita dollar 1 = sh 2659.37 (midrate), ijumaa ya leo ni 2719.23 na mabeberu hawajatangaza vita rasmi. Muda wa kubadilisha hayo madafu unayojidai nayo ndio huu.
 
Screenshot_20240819_083342_WhatsAppBusiness.jpg
 
Mafala hao wasitupangie viongozi wetu ,.ndio maana tuna dili na wachina maana hawaingilii mambo ya ndani ya nchi


..kuna mambo fulani fulani wanatusaidia.

..kwa mfano wako wanaotusaidia ktk ujenzi wa hospitali ya jeshi. wengine wanatusaidia mafunzo ya wanajeshi, Polisi, na makachero.

..Na mambo wanayotuambia ni ya msaada kwa wananchi. Kwa mfano, kiongozi mwenye tuhuma za mauaji hapaswi kupata uteuzi. Pia matukio ya utekaji, na mauaji, yanapaswa kupatiwa majibu haraka.
 
Viongozi wanatokana na Raia....kama Raia ni fyongo....unatarajia nini?
Kuwa na viongozi wasio na experience na exposure ya ulimwengu ulivyo ni kazi sana..

Wako bize kushinda kwa waganga ili waendelee kuwepo kwenye nafasi zao.

Tanzania upumbavu ni mwingi sana tuache tu unafiki kama Elimu inazalisha watu wa namna hii bora tuwe wachawi na sio machawa
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
MTEGO HUU, changieni kwa makini, kaunda suti huyu aliyeanzisha uzi.
 
Lini nchi ilifungwa? Nyie ndiyo mna mpa reason ya kufanya madudu kama haya, sijawahi kuona hii nchi inefungwa, sijui huo msemo huwa unatoka wapi. North Korea kweli imefungwa na zamani China ilikuwa imefungwa siyo Tanzania
Yes North Korea upo sahihi na China wakati fulani hivi wa Mao ila baade yeye mwenyewe aliona ni ujinga akaanza kubadilika.
 
Kuwa na viongozi wasio na experience na exposure ya ulimwengu ulivyo ni kazi sana..

Wako bize kushinda kwa waganga ili waendelee kuwepo kwenye nafasi zao.

Tanzania upumbavu ni mwingi sana tuache tu unafiki kama Elimu inazalisha watu wa namna hii bora tuwe wachawi na sio machawa
Hahaha
 
Back
Top Bottom