Hujui lolote weweHuijuwi historia yako wewe.
Wewe babu zako waliletwa kutumwa Mashariki ya Afrika, hii ardhi yote kabla ya kuja Mjerumani ilikuwa ni Zanzibar.
Sheria ya ardhi ya tz ni tofautiHawa Wachina wana akili kubwa boss
Wanamiliki mashamba makubwa sana USA, baadhi ya nchi za European na hata Sri Lanka mpaka Latin America
Ninachosema ni kuwa wanataka kumiliki ardhi kila sehemu ili walime wao
Sio kwa jembe la mkono
Hawa jamaa mpaka USA wamewamilikisha mashamba
View attachment 3108045View attachment 3108046
Unyama hauigwiAsivune kagame?
Sawa hayo mwambie Mbowe mugabeUnyama hauigwi
atavunaje alichopanda wakati atakuwa zake dubai?Atavuna anachopanda
Mafala hao wasitupangie viongozi wetu ,.ndio maana tuna dili na wachina maana hawaingilii mambo ya ndani ya nchi
Sheria hakuna mradi hela tuSheria ya ardhi ya tz ni tofauti
Kuna sheria,hayo ya bandari na loliondo ni makelele yasiyo msingiSheria hakuna mradi hela tu
Rejea Port, loliondo nk
Kuna watu wanamiliki ardhi na sio raia
Mulemule.Hivi ni mlemle ama mulemule?
Kiswahili kinataka kunipiga shenga ya mwili.
Eti ndio wanaotaka kumtoa samia madarakani hao na hoja zao ndio hizoSamia mweupe sana kwenye masuala ya geopolitics, aendelee kutembelea shows za taarab huko Z'bar... Na kuwapiga mipasho wapinzani...
Kuwa na viongozi wasio na experience na exposure ya ulimwengu ulivyo ni kazi sana..Viongozi wanatokana na Raia....kama Raia ni fyongo....unatarajia nini?
MTEGO HUU, changieni kwa makini, kaunda suti huyu aliyeanzisha uzi.Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.
Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.
Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.
Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?
Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?
Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina
Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.
Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.
Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Yes North Korea upo sahihi na China wakati fulani hivi wa Mao ila baade yeye mwenyewe aliona ni ujinga akaanza kubadilika.Lini nchi ilifungwa? Nyie ndiyo mna mpa reason ya kufanya madudu kama haya, sijawahi kuona hii nchi inefungwa, sijui huo msemo huwa unatoka wapi. North Korea kweli imefungwa na zamani China ilikuwa imefungwa siyo Tanzania
HahahaKuwa na viongozi wasio na experience na exposure ya ulimwengu ulivyo ni kazi sana..
Wako bize kushinda kwa waganga ili waendelee kuwepo kwenye nafasi zao.
Tanzania upumbavu ni mwingi sana tuache tu unafiki kama Elimu inazalisha watu wa namna hii bora tuwe wachawi na sio machawa
unlike stomach,the brain doesn't alert when it is empyAtavuna anachopanda
Kama ni mnamaanisha wale Vijana 2 watukutu si mseme tu. Msiongee kwa codesSahii kabisa kuna watu aliwarudisha kwa hisia kwenye vyeo vyao, Amekuja kuwatoa wameshavuruga saana.