Code zinaanza kufunguka

Code zinaanza kufunguka

Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Mama anauza nchi kwa kivuli cha kufungua nchi
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Israel Vs Hamas + Hezebuloah + Rushia + Iran + N. Korea. Ukiielewa hiyo formula,utaweza kujibu maswali mengi sana ya mirengo uchwara ya kiuchumi. Israel inabeba Western na Christianity block. Upande wa pili unabeba Asia [ Waarabu + Islam + hao wengine] na block hii inapenyeka kirahisi na unaikwepa kidogo World banking system,IMF,nk zinazohusudu matumizi ya Dola nk. Kuna biashara za Waarabu zinaendelea nchini na Africa zenye mkono wa Wachina. Niko bado nafanya study fulani kuona je, income ya kampuni hizo haiwezi kuwa na connection na wale jamaa zetu wanaopigana wakiwa mashimoni?
Kumbuka miaka kadhaa iliyopita kuhusu biashara ya ngozi za mifugo kununuliwa na kampuni za gaidi no 1 duniani na kilichotokea. Niko tayari kusahihishwa.
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina


Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Mkuu, unasoma mengi hata yasiyo kuwepo kwenye karatasi unayo soma.

Samia hana uzito wa kuwekewa maanani na hao wakubwa (mabeberu), kiasi cha kujihangaisha naye. Na hata mChina mwenyewe anajuwa Samia ni mpita njia tu, haachi alama yoyote huyu baada ya utawala wake.
 
Rais ni mwanadiplomasia, ni spokesman/woman.
Ni kichwa chenye dira ya taifa lake na mwongoza njia kuelekea kwenye matarajio yake kwa maslahi ya Taifa lake.

Ikiwa Rais atakosa dira basi ni nafasi ya mataifa yenye nguvu kiuchumi kuanza kutafuta ushawishi kwenye hilo taifa na kuanza kulinyonya.

Mtazamo wangu upo hivi huenda hauna dira iliyowekwa na serikali yetu tukufu na sikivu, ndy maana hadi leo inakusanya maoni kwa watu juu ya dira ya taifa kuelekea 2050.

Ndy mana hatujui tunaweka nguvu kwenye kilimo, utalii, ufugaji, madini, uvuvi, elimu, viwanda na teknolojia, afya, usafiri maji nk.

Ukitizama unaona serikali inataka kwenda na vyote kwa pamoja kitu ambacho ni ngumu kutimia kutokana na kipato cha taifa letu.

Philosophy inasema, if you don’t know where you are going any way will take you. Ikiwa na maana kwamba ukiwa hujui unakoenda njia yeyote ile utaiona ni sahihi.

Kiufupi hapa ni kama gombania goal wakubwa wanafanya scramble for our nation. Na kila mmoja anataka maslah na wote hawana nia njema na sisi kikubwa ni kuwapokea ila kwa taadhari ya hali ya juu na kuwa na maarifa ya ziada katika negotiations na contracts.
Lakini hata malaya huangalia nani anampa pesa nzuri, huwezi kwenda na mtu ambaye hakupi pesa ya kutosha. Umalaya wa viongozi wetu ni tu kujitimizia nyege za kubakia madarakani. Character ya president ndiyo inatutawala
 
Hujui lolote..
Hapo Tabora kulikuwa na waarabu koko kutoka Zanzibar kwa Sultani, Unaelewa King Mirambo wa Tabora aliitwa Mbula, kabla hajapewa jina Mirambo? Unajua Mirambo ilimaanisha nini?

Unaelewa chanzo cha waarabu kupigwa na rugaruga? Walikuwa wakichukua watumwa na kupita eneo anatawala Mirambo hawalipi kodi, Mirambo aliwapiga waarabu akawatoa vichwa na kung'oa meno, yale meno akatengeneza mkufu wenye meno 85...

Waarabu walisema watampiga Mirambo, Mirambo aliwatandika hadi wakakimbia, akawafuata na kwao piga akachukua na watoto wao wa kike, askari mmoja akamuambia Mirambo "Mkuu binti huyu haoa uoe" Mirambo akasema "Siwezi kuoa mbwa" , "Mchukue kaoe mwenyewe"

We ni mweupe, naielewa historia ya heroes wote wa Tanganyika...

Waarabu walikuwa wabakaji , wezi na vibaka tu...

Naweza kuelezea historia ya Tanganyika toka mwaka 200..
Kwa nini usiandike kitabu mkuu, maana naona unayo mengi ya kueleza.

"Historia ya Tanganyika tokea 200"? Yote ya kusimuliana toka kizazi hadi kingine bila maandishi katika wakati
wote huo?
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Kucheza na superpower inahitajika akili kubwa sio kama hawa jamaa waliozoea uchawa, watashindwa vita kabla hawajaanza, niamini mimi
 
Nchii hii ujinga ni mwingi
Nipo na mnaijeria anatushangaa sana jinsi kodi zilivyo juu.
Alfu raia wake huwambii kuhusu mpira.

Tumetafuta dollar kuzipata imekuwa ngumu sana.

Hili Taifa viongozi na raia wake ni nyo××ko kabisa..

Tunaishi kama tupo jehanamu
 
Nchii hii ujinga ni mwingi
Nipo na mnaijeria anatushangaa sana jinsi kodi zilivyo juu.
Alfu raia wake huwambii kuhusu mpira.

Tumetafuta dollar kuzipata imekuwa ngumu sana.

Hili Taifa viongozi na raia wake ni nyo××ko kabisa..

Tunaishi kama tupo jehanamu
Viongozi wanatokana na Raia....kama Raia ni fyongo....unatarajia nini?
 
Watanzania tuwe tunaacha majungu,hivi mnafikiri wazungu ni mawe? Upepo unabadilika hatutaishi maisha yake Yale kila siku Zama za waingereza,Marekani, ufaransa na wao Zama zao zinapotea ,Merudi,mchina,waarabu na hata Afrika inakuja kivingine japo sikatai kuwa wote ni wanyonyaji ila mi nnavyoamini si muda wote tutafanya biashara au mahusiano yanayoleta tija Kwa pande zote mbili usipokuwa mkweli Basi NI ngumu kukubalika kimataifa,Zile Zama mlizoaninishwa shule kuwa Afrika ni bara la Giza uhalisia unaanza kuonekana Kwa vitendo! Tusiwe tunawakksea heshima watu wanafanya jitihada za makusudi kupiga hatua Fulani,yes hii nchi ni yetu sote hatupaswi kukaa kimya kama kuna Mambo hayaendi Sawa tunawajibika kuwakumbusha watawala wetu Kwa kauli Safi Tu, hatunaga rahisi mzuri akiwa madarakani
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina


Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Marekani inachangia zaidi ya dola bilioni 2.8 kila mwaka katika bajeti ya Tanzania.
Tuna ujeuri wa kuwafukuza? Migodi mikubwa ya dhahabu na Almas wanaimiliki wao hapa Tz
 
Back
Top Bottom