Code zinaanza kufunguka

Code zinaanza kufunguka

Sijui ni mara ngapi ulisha mtaja Hamza Johari humu kuwa wa kimataifa. Bila shaka ndiye hasa anayekulisha kama siye yeye mwenyewe. Wewe unapo mwona Hamza kuwa wa thamani kubwa sana hiyo ni wazi kwamba wewe mwenyewe umepungukiwa sana kielimu.

Kusoma Kiev nayo imekuwa sifa ya kujivunia?

Kwanza mwandiko wako tu unaonyesha upungufu mkubwa kielimu.
Hamza ni AG wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na anastahili kwa namna alivyowakimbiza kwenye suala zima la bandari.

Ulikuja na nia za kichawi za kutaka kuikatisha tamaa serikali iachane na uwekezaji lakini mkawa mnapungukiwa mengi kuhusu suala zima la huo uwekezaji.
 
Hata hueleweki unazungumzia kitu gani, bila shaka hujui unacho jaribu kueleza.

Huo mstari wa kwanza, "elimu zenu" na "maamuzi ya maksudi..." yana husiana vipi? Kwamba ufinyu wa elimu zenu, hasa hiyo ya Samia imekuwa tatizo la "kuwapotosha waTanzania"?

Samia hana njia tofauti ya uchumi inayo eleweka. Anacho fanya ni kuruhusu tu bila mpangilio wowote uvurugaji wa mali za waTanzania, kwa kuzitapanya hovyo hovyo, huku akiwafubaza akili waTanzania na kuondoa uthubutu wao kujifanyia maendeleo yao. Juhudi kubwa anayo fanya Samia ni kuwapeleka waTanzania katika utwana. Hili halikubaliki.

Fursa zingekuwa ni za kumwaga, mtuu kama wewe usingkuwa kutwa unashinda hapa kama kupe aliye ng'ang'ania kwenye ngozi ya Samia akinyonya damu. Hayo ndiyo maisha mnayo watengenezea waTanzania; maisha ya utegemezi kwa hao mnao wagawia mali asili na utajiri wa nchi hii.
Fursa zipo nyingi, viwanda kila kona vinajengwa nenda hapo mkoa wa Pwani utakutana na uzalishaji mali wa kila aina.

Viwanja vya ndege vinazidi kumaliziwa kwa kasi kubwa, vinaifungua Tanzania na kuifanya kuwa ni nchi inayoingilika na kutokeka kwa urahisi zaidi.

Pole sana kwa namna moyo wako unavyoumizwa na haya anayoyafanya Rais SSH.
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina

Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Na bado mtajua hamjui! mabeberu kumbe ndio wamesanua mambo ya ugaidi wa serikali baada ya kuwatusi mabalozi wao! Mchina atabeba hadi figo zenu nyoko fisi maji mbadoo
 
Hamza ni AG wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, na anastahili kwa namna alivyowakimbiza kwenye suala zima la bandari.

Ulikuja na nia za kichawi za kutaka kuikatisha tamaa serikali iachane na uwekezaji lakini mkawa mnapungukiwa mengi kuhusu suala zima la huo uwekezaji.
EEEeeenHEEEE!
Hivi vyeo huko serikalini siku hizi navyo ni vya kujivunia? Watu wanapeana tu vyeo, hata kama uwezo hakuna!

Mambo ndani ya nchi hii yamefikia hapa yalipo fikia, hata ya kuwa na Rais, mkuu wa nchi asiye kuwa na sifa hata moja; kuna maajabu gani ya mtu kama huyo kubandika tu kila aina ya mtu mahali popote.

Hilo swala la bandari litakuwa ni aibu siku zote; hasa kutokana na uchafu ulio fanyika namna lilivyo shughulikiwa. Hakuna kitu hata kimoja cha kujivunia katika swala lile, lakini naona ndiyo imekuwa beji unayo tanguliza mbele kujivunia; huku ukijuwa huo ndio ulikuwa mwanzo wa anguko wa huyo unaye mnyonya damu kama kupe.

Kwani unadhani watu hawajui kwa nini Hamza amewekwa hapo alipo sasa; ili afanikishe mambo ya uchafu zaidi yanayo pangwa kufanyika katika mwendelezo wa uhujumu wa nchi hii.
Sasa mtu na akili zako timamu, na unajihesabu wewe ni mTanzania unaye penda nchi yako na raia wenzako, kuna kipi cha kujivunia katika uchafu kama huo!

Mnawaita waTanzania, "wezi, wavivu", n.k., halafu mnawaibia mali zao na kuwafanya watwana wenu na wajomba zenu?
 
Fursa zipo nyingi, viwanda kila kona vinajengwa nenda hapo mkoa wa Pwani utakutana na uzalishaji mali wa kila aina.

Viwanja vya ndege vinazidi kumaliziwa kwa kasi kubwa, vinaifungua Tanzania na kuifanya kuwa ni nchi inayoingilika na kutokeka kwa urahisi zaidi.

Pole sana kwa namna moyo wako unavyoumizwa na haya anayoyafanya Rais SSH.
Unaimba nyimbo ambazo hata 'tune' zake huzijui. Kwani hivyo viwanda kajenga Samia. Kabla ya yeye hapakujengwa viwanda nchi hii?
Kujengwa hivyo viwanda ndiyo iwe sababu ya kutusahaulisha hujuma zenu kwa waTanzania?

Hivyo viwanda ndiyo bei na thamani mliyo wawekea watanzania kuwapeleka kwenye utwana?
 
EEEeeenHEEEE!
Hivi vyeo huko serikalini siku hizi navyo ni vya kujivunia? Watu wanapeana tu vyeo, hata kama uwezo hakuna!

Mambo ndani ya nchi hii yamefikia hapa yalipo fikia, hata ya kuwa na Rais, mkuu wa nchi asiye kuwa na sifa hata moja; kuna maajabu gani ya mtu kama huyo kubandika tu kila aina ya mtu mahali popote.

Hilo swala la bandari litakuwa ni aibu siku zote; hasa kutokana na uchafu ulio fanyika namna lilivyo shughulikiwa. Hakuna kitu hata kimoja cha kujivunia katika swala lile, lakini naona ndiyo imekuwa beji unayo tanguliza mbele kujivunia; huku ukijuwa huo ndio ulikuwa mwanzo wa anguko wa huyo unaye mnyonya damu kama kupe.

Kwani unadhani watu hawajui kwa nini Hamza amewekwa hapo alipo sasa; ili afanikishe mambo ya uchafu zaidi yanayo pangwa kufanyika katika mwendelezo wa uhujumu wa nchi hii.
Sasa mtu na akili zako timamu, na unajihesabu wewe ni mTanzania unaye penda nchi yako na raia wenzako, kuna kipi cha kujivunia katika uchafu kama huo!

Mnawaita waTanzania, "wezi, wavivu", n.k., halafu mnawaibia mali zao na kuwafanya watwana wenu na wajomba zenu?
Pole sana mwanaharakati Kalamu.
 
Unaimba nyimbo ambazo hata 'tune' zake huzijui. Kwani hivyo viwanda kajenga Samia. Kabla ya yeye hapakujengwa viwanda nchi hii?
Kujengwa hivyo viwanda ndiyo iwe sababu ya kutusahaulisha hujuma zenu kwa waTanzania?

Hivyo viwanda ndiyo bei na thamani mliyo wawekea watanzania kuwapeleka kwenye utwana?
Siasa za kijinga zinakuwa na wafuatiliaji wachache kwenye nchi ambayo watu wanajitambua na wanafukuzia fursa za kiuchumi.
 
"Fursa za kiuchumi" siyo kunadisha mali za watu unao waita wewe wajinga.
Hakuna anayenadisha mali za watanzania. Swissport wapo hapo uwanja wa ndege tangu 1995 nchi yetu imeuzwa kwa yoyote yule licha ya wao kufanya biashara hapa airport?.

Tupunguze huu wasiwasi na kujiona duni bila ya sababu zozote za msingi. Hakuna binadamu anayeweza kuishi kama kisiwa.
 
Huna sababu yoyote ya kuniita mwanaharakati, na wala sistahili kupewa pole yoyote. Ninayasema ninayo yaamini na kuyajuwa.
Hujui chochote unasumbuliwa na fikra za kijamaa za kudhani njia kuu za uchumi siku zote zinastahili zimilikiwe na umma, kuna mapinduzi ya kielimu yanaendelea duniani kila kukicha.
 
Hakuna anayenadisha mali za watanzania. Swissport wapo hapo uwanja wa ndege tangu 1995 nchi yetu imeuzwa kwa yoyote yule licha ya wao kufanya biashara hapa airport?.

Tupunguze huu wasiwasi na kujiona duni bila ya sababu zozote za msingi. Hakuna binadamu anayeweza kuishi kama kisiwa.
Hata huoni aibu kurudia yale yale ya miaka yote na kujibiwa.
Wewe, (huyo Hamza) kakaa hapo miaka mingapi?
Hao Swissport kazi hiyo ni peke yao wanaoweza kuifanya?

Ni kwamba wewe huelewi chochote ninacho kueleza humu. Utakuwa mTanzania wa akili gani kama huwezi kujuwa kuwa kazi kama hizo za Swissport zinaweza kufanywa na waTanzania? Hao wamekaa hapo miaka mingapi hadi leo; halafu unakuja hapa na kujivunia uongozi wa kijnga namna hii?

Hali ni hiyo hiyo, hata huko Bandarini. Kakaa hapo TICTS zaidi ya miaka 25; sasa mkaleta huyu mjomba wenu miaka zaidi ya 30; hivi hata huoni aibu kuzungumzia haya mambo kama huna akili kichwani?
 
Hujui chochote unasumbuliwa na fikra za kijamaa za kudhani njia kuu za uchumi siku zote zinastahili zimilikiwe na umma, kuna mapinduzi ya kielimu yanaendelea duniani kila kukicha.
Kama wewe unaona kuna ubaya wowote na ujamaa, mimi sioni hivyo. Na kama wewe unaona ubepari wa kuazima ndiyo sifa, mimi sioni hivyo.

Nilisha kueleza, hayo maswala ya ujamaa/ubepari, hizo ni fikra za kizamani sana. Hakuna nchi yoyote duniani ambayo imeshikilia mfumo mmoja wa ubepari au ujamaa.
 
Hujui chochote unasumbuliwa na fikra za kijamaa za kudhani njia kuu za uchumi siku zote zinastahili zimilikiwe na umma, kuna mapinduzi ya kielimu yanaendelea duniani kila kukicha.
'Actually' huu ni ujinga mkubwa sana. Ni wapi nilipo eleza kuhusu uchumi kumilikiwa na umma. Kwani hatuwezi kuwa na sekta binafsi hapa ya watu ambao sasa hivi mnafanya kila njia kuwageuza kuwa watwana?
 
Leo kauli ya mama yakuwapa mashavu wachina na kusema china kwa sasa ni super power na kupendekeza hata Watanganyika inabidi tuanze kujifunza kichina.

Ukiangalia kwa jicho la tatu utaona ni kama mama alikua anaendeleza battle na mabeberu na sasa hanawaambia kwamba hata kama wao wakizingua bado kuna mchina atampiga tagi.

Swali hapa ni la kujiuliza kumetokea kitu gani kati ya serikali ya mama na mabeberu, wote tunajua mabeberu hawana time na demokrasia yenu kama interest zao hamjazigusa, si unaona kwa Kagame wanajua michezo yote anayoicheza lakini wamekausha sababu wanajua Kagame sio tishio kwao wala kwa masilai yao bali Kagame ni tishio kwa waafrica wenzake.

Swali nalojiuliza mbona mwanzo mama aliendanao sawa tu na alikua royal tu sasa nini kimetokea?

Au kuna mzigo mkubwa anataka kummegea mchina? Au ni ile inshu ya kuwapa mbuga na bandari wale waarabu?

Soma Pia: Rais Samia: Kuna haja ya kuwa na Mchepuo wa Masomo ya Lugha ya Kichina


Najua kuna watu wanazijua code vizuri kuna battle ya chinichini Kati ya serikali ya mama na mabeberu, hata chadema wanajua hii kitu ndio mahana wamekubali kuicheza hii battle wakiwa upande wa pili sababu na wao wameona opportunity ya kumtingisha mother.

Ushaidi mwingine ni ukiona nyuzi nyingi kwenye mitandao au hapa JF za machawa wakiyasema vibaya mabeberu ujue kuna kitu hakipo sawa.

Swali ni kwamba mziki wa mabeberu mnauweza kuucheza ikiwa tu kuna kipindi bei ya sukari inawasumbua? au ndio tuwaache mpaka mtakapoanza kubeba malundo ya hela kwa ajili ya kununua mkate kama Zimbabwe.
Sijawahi kumpenda huyu mama yenu, kwa kweli sijaona alichofanya zaidi ya kututia kwenye hasara kubwa kwa kweli, naombeni msikilize hii clip mtaelewa.
 

Attachments

  • VID-20241001-WA0011.mp4
    14.7 MB
Hata huoni aibu kurudia yale yale ya miaka yote na kujibiwa.
Wewe, (huyo Hamza) kakaa hapo miaka mingapi?
Hao Swissport kazi hiyo ni peke yao wanaoweza kuifanya?

Ni kwamba wewe huelewi chochote ninacho kueleza humu. Utakuwa mTanzania wa akili gani kama huwezi kujuwa kuwa kazi kama hizo za Swissport zinaweza kufanywa na waTanzania? Hao wamekaa hapo miaka mingapi hadi leo; halafu unakuja hapa na kujivunia uongozi wa kijnga namna hii?

Hali ni hiyo hiyo, hata huko Bandarini. Kakaa hapo TICTS zaidi ya miaka 25; sasa mkaleta huyu mjomba wenu miaka zaidi ya 30; hivi hata huoni aibu kuzungumzia haya mambo kama huna akili kichwani?
Hakuna binadamu anayeishi kama kisiwa. Muingereza aliyetutawala kamuajiri DP World kwenye sekta ya bandari.

Marekani kuna wahindi wengi tu kwenye sekta ya mawasiliano wenyewe wanaita outsourcing, ndio dunia ilivyo. Ile ya kujifungia mwenyewe ndani imeshapitwa na wakati.

Hamza yupo serikalini kuanzia mwaka 2014, mamlaka ya anga alianzia kama mwanasheria anayetetea haki za wasafiri akateuliwa kuwa mkurugenzi mkuu na sasa mwanasheria mkuu wa serikali.
 
"Fursa za kiuchumi" siyo kunadisha mali za watu unao waita wewe wajinga.
Hakuna anayenadisha, lengo la kumpatia DPW bandari aendeshe ni kuongeza tija kwenye hazina ya Taifa na hivi sasa imeongezeka sana.

SSH anafanyia kazi kwa vitendo yale maneno ya kebehi aliyoyasema Kagame kipindi kile cha JK, kwamba anao uwezo wa kuiendesha Tanzania kupitia bandari ya Dar peke yake.
 
Back
Top Bottom