stroke
kwa upande wangu yoote hayo HAYAJATHIBITISHA WAZI UWEPO WA MUNGU labda kdg hilo la ajali kama wasimuliavyo iliwahi tokea ajali watu wote wakafa akapona mtoto mchanga akielewa mtoni (kama ni tukio la kweli)
Kwangu mm nathibitisha uwepo wake MUNGU kama ifuatavyo;
1. mara moja moja sana may be mara 1 au hata mara 2 kwa mwaka.. hutokea kulala na kuota tukio tofauti kabisa, na mara nyingi ya kushtua/ajabu na asb yake naweza kukumbuka kdg tu na kusahau tena,, sio muda murefu HUTOKEA TUKIO HUSIKA hapo sasa ntalikumbuka ndoto yote yaweza isiwe exactly 100% kufanana lakini by 90 % lazima...
2. waweza kufanya maamuzi yasio na logic kabisa,, hun sababu ya kufanya hicho kitu na tena hata ukiuuliza watu unaowaamni/wataalam kwa ushauri watakuzuia tu, LAKINI HURIDHIKI moyo wako unakutuma kufanya tu hata kama pana hasara ya wazi wazi....
mwisho unalifanya na baada ya muda tu unakutana na matokeo yaajabu NEEMA TUPU USIOWEZA SIMULIA ILIKUWAJE MWANZO HADI MWISHO na pia hakuna anaweza amini ni hatari wanaweza kukuita mchawi au hata mwizi vyovyote vile kwa imani zao lakini HAKIKA MUNGU NI WAAJABU.
3. Unaingia mkataba aidha wa kibiashara kwa tahadhali zote na ushauri wa watu kadhaa, na wa gharama kubwa, bahati mbaya baada siku chache tu unagundua kuwa utapata hasara kubwa sn mfano shs 20 mln (hili limetokea feb hii) Inakuumiza sana kupata hasara kwa kutoelewa ya kesho. kwa sisi tunaojali kauri hata kama hujamlipa huwezi KUMRUSHA NI ZURUMA,,
Linalo baki ni wewe kulia na mungu wako na maumivu usiku hulali, cha AJABU jamani MUNGU ni mwema yule yule anayekudai anghaili na kuvunja yeye mkataba akitegemea mashali zaidi kuliko yako uliokuwa unamlipa(wakati huo na yeye hana uhakika) Kwang mm nauona huo ni UWEPO WA MUNGU..
4. Mwisho ni watu wengi sana hupata ISHARA mbalimbali kuwajulisha matukio kama KILIO cha ndugu wa karibu kabla HAJAPATA TAARIFA RASMI, Au MAFANIKIO MAKUBWA lkn akipata ishara fulani tu haichukui muda yaweza chukua hata wiki hadi kupata taarifa rasmi ya tukio husika....